BBC, DW, VOA, Aljazeera yamtangaza Lowassa dunia nzima

BBC, DW, VOA, Aljazeera yamtangaza Lowassa dunia nzima

kutangazwa na vyombo vya habari vya nje si hoja ya msingi ya kushinda. wametangazwa wengi lakini hawajashinda tafuta hoja nyingine
 
sasa muda mfupi ujao lowassa anachukua fomu ya kugombea kupitia chadema,dunia nzima pia itazizima.
 
sasa muda mfupi ujao lowassa anachukua fomu ya kugombea kupitia chadema,dunia nzima pia itazizima.
Kuonekana dunia nzima ni hela yako hata wewe ukitaka ukiwa na hela waweza onekana CNN,BBC,ALJAZEERA N.K kuna makampuni ya PUBLIC RELATIONS ya kimataifa ukiyapa hela yana connections na vituo vyote vikubwa duniani yatarusha habari yako kila chombo.Si kitu cha ajabu hicho.
 
Kuonekana dunia nzima ni hela yako hata wewe ukitaka ukiwa na hela waweza onekana CNN,BBC,ALJAZEERA N.K kuna makampuni ya PUBLIC RELATIONS ya kimataifa ukiyapa hela yana connections na vituo vyote vikubwa duniani yatarusha habari yako kila chombo.Si kitu cha ajabu hicho.

Rusheni na ya Pombe basi kama ni hela.
 
Hata wengine huku tumeshajiweka sawa kiakili, kura yangu nitampa kama Mungu akinipa kuiona hiyo siku.

Kwa kweli mkuu kikubwa ni kuomba mungu atupe uzima tukatumie vichinjio vyetu kikamilifu bila kufanya kosa.
 
Arusha walikata umeme ebu nijuzeni kuna nini.

Huku Arusha tuko kama kisiwa fulani hivi kilichotengwa. huku umeme kila siku hakuna kuanzia asubuhi hadi saa moja jioni hasa maeneo ya sakina.halafu hali hii inazidi kunipa hasira ya kuipiga chini ccm.
 
Kuna chama kinaitwa ukawa kweli?

UKAWA ni umoja ulioundwa mahsusi na vyama vinne CHADEMA,CUF,NCCR na NLD kupigania katiba ya wananchi,na pia wamekubali kushirikiana katika uchaguzi.
 
kutangazwa na vyombo vya habari vya nje si hoja ya msingi ya kushinda. wametangazwa wengi lakini hawajashinda tafuta hoja nyingine
Aisee kuna watu wana roho ngumu.. Yaani mpaka muda huu bado umekazana na kusubiri nani wa kushinda. Kilichobakia ni Lowassa kuapiswa kama rais mkuu.
 
Ni kuweka tu records vizuri: UKAWA siyo chama cha siasa, bali ni umoja uliyoundwa na vyama Vinne (NLD, CHADEMA, NCCR-MAGEUZI na CUF) kwa lengo la kutetea KATIBA bora kama ilivyopendekezwa na tume ya Jaji Warioba, na baadaye wakaamua kuendeleza muungano wao kwa lengo la kuking'oa chama "TWAWALA" katika uchaguzi mnamo Oktoba 25th 2015.

Hakika E.L amepata coverage kubwa kwa redio na runinga za kimataifa kwa kuweka historia ya kuwa kiongozi wa juu kukihama ccm na kujiunga na upinzani kwa mara ya kwanza.vilevile wamesema kuwa siasa ya Tanzania imekuwa na uenda ukawa ndio mwanzo kwa chama cha ukawa kushika dola.
 
Kuonekana dunia nzima ni hela yako hata wewe ukitaka ukiwa na hela waweza onekana CNN,BBC,ALJAZEERA N.K kuna makampuni ya PUBLIC RELATIONS ya kimataifa ukiyapa hela yana connections na vituo vyote vikubwa duniani yatarusha habari yako kila chombo.Si kitu cha ajabu hicho.

Haaaa....!!!??? Ndio kusema EL ni tajiri sana kiasi cha kujulikana dunia nzima kwa utajiri!
 
Huku Arusha tuko kama kisiwa fulani hivi kilichotengwa. huku umeme kila siku hakuna kuanzia asubuhi hadi saa moja jioni hasa maeneo ya sakina.halafu hali hii inazidi kunipa hasira ya kuipiga chini ccm.

No huwezi shindana na tulio posta dar! bado huko ni maporini tunaomba mvumilie!
 
Mitaa yote ya Paris St Germany, Aston Villa, Chelsea, Bayern Munich, Liverpool, Manchester, Arsenal Wenger, West harm, NBA, Barcelona, Real Madrid, David Beckham, UEFA n.k

Yooote ilijaa watu kwenye big screens kushuhudia ujio wa Lowasa ukawa.
Bila kusahau mitaa ya Newton's and Ohm's law.
 
Back
Top Bottom