senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
DSTV mtoto wa mvuviJamani sisi wavuvi huku vijijini huku hebu tujuzeni, huyo BBA anaonekana mitaa ipi?.
DSTV mtoto wa mvuviJamani sisi wavuvi huku vijijini huku hebu tujuzeni, huyo BBA anaonekana mitaa ipi?.
NI usd 200,000 mkuu.Namuombea mungu huyu kijana ashinde.ameshapigika vya kutosha na sasa ni mtu mzima sidhani kama atarudia uli ujinga wa wakati ule na akina RC.
Oh noooo... A new house for housemates... I know housemates will need to leave it ASAP. Jumba bovu si mchezo
..........anaweza kurudia ule ujinga wa wakati ule, maana anaweza kuwa hajakuwa kiakili!NI usd 200,000 mkuu.Namuombea mungu huyu kijana ashinde.ameshapigika vya kutosha na sasa ni mtu mzima sidhani kama atarudia uli ujinga wa wakati ule na akina RC.
Akinyakua hizo $180,000/- itakuwa njema kwa Tz ila sijui atafanya investment gani au atanunua share pale TBL!?
Alikuwa kwenye season iliyopia bana... Ni mmoja wa wale niliowapenda sana, bahati mbaya ALIONDOKA bila kuwa nominated (kama mna kumbukumbu)...
Mwisho atakuwa wa mwisho kutoka ndani ya jumba la BBA all Stars
Si kwa maneno, kwa vitendo pls :smile:Ila Mwisho amenipa matumaini mapya; Mpaka sasa nimemkubali na nitampa support!