wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
Mkuu naomba na mimi unitumie pm plsNingekutumia picha ya dawa mama yangu alikuwa anatibia watu wamepona sema daaaah kuna changamoto inanizuia siwezi kutoka nje kwenda kutafuta hayo majani lakini ipo siku nitakutumia kama utakuwa hujapata