Bawasiri inanitesa

Bawasiri inanitesa

Kula matunda yenye nyuzinyuzi ( mf. Embe) na mengine yenye kilainishi (mf. papai n.k)na salad kwa wingi. Punguza vyakula vya wanga nyingi (carbonic acid) mf. Corn 🌽 na wali. Pia usitumie pombe Kali.
Ukitokea umekula nyama nyingi na fast food nyingi next day piga salad na matunda kwa wingi.
 
Msaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona.

Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
Mimi nilitumia hii Kuna jirani yetu anauza
 

Attachments

  • 71UeSavWaYL._AC_UF1000,1000_QL80_FMwebp_.jpg
    71UeSavWaYL._AC_UF1000,1000_QL80_FMwebp_.jpg
    123.6 KB · Views: 49
Msaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona.

Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
Hiyo ni sugu tiba yake ni kupiga bomba 2mils kupitia haja kubwa dawa isiingie zaidi ya sm 10 kuna vifaa maalum.
Lakini kuna mixture ya dawa tatu zinazotumika. Nitafute.
 
Mim pia naumwa sanaaa
mkuu nenda sehemu wanapouza dawa za asili ulizia "kash kash maua"..ukizipata nenda kachemshe kidogo kidogo kama unavochemsha chai ya rangi, unywe glass 1 kila siku asubuh na jioni..ndani ya wiki 2 mkpk wiki 4,urudi kutoa majibu
 
Chukua dozi Moja. Chamsingi zingatia ulaji wa matunda na mbogamboga. Punguza ulaji wa wanga na nyama ikilazimika ule pamoja na salad, fruits etc (papai ni zuri zaidi ule kidogo na mbegu zake). Pendelea ulaji wa viazi vitamu, vikuu (epuka viazi ulaya), ndizi, mtama, uwele , wild rice, MABOGA nk lengo nikupunguza ulaji wa wanga mbaya inayopatikana kwenye mahindi na Michele.
Epuka pombe Kali, spirit, Gin etc
Shukran.
Screenshot_20241206-090951.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20241206-090951.jpg
    Screenshot_20241206-090951.jpg
    53.7 KB · Views: 38
  • Screenshot_20241206-090951.jpg
    Screenshot_20241206-090951.jpg
    53.7 KB · Views: 37
mkuu nenda sehemu wanapouza dawa za asili ulizia "kash kash maua"..ukizipata nenda kachemshe kidogo kidogo kama unavochemsha chai ya rangi, unywe glass 1 kila siku asubuh na jioni..ndani ya wiki 2 mkpk wiki 4,urudi kutoa majibu
Ahsante sanaa ndugu yangu
 
Back
Top Bottom