BAWACHA mnaiangusha CHADEMA!

BAWACHA mnaiangusha CHADEMA!

Hoja nzuri mzee
UOTE=one activist;4847213]Hebu acheni kukurupuka jamani, nafkiri viongozi wa wa CDM wameshajifunza kwa hili, hivi nani aliyefikiria kwamba John Shibuda angebaki kuwa ni mwana CCM hai wakati akiwa bado ni mwanachama wa CDM kisheria kwa sababu tu ana kadi ya CDM na ndio waliomdhamini yeye kupata ubunge 2010 na baadaye kugeuka kuwa muhujumu wa CDM kiasi cha CDM kujikuta hakina la kumfanya hadi leo? Sisemi kwamba Esther Wassira hafai kupewa nafasi mbalimbali ndani ya CDM, lakini hebu hili vuguvugu la makada wa CCM na wanachama wapya wasio na vyama kuingia CDM lipewe muda na kuangaliwa kwa umakini kwanza, sio kuleta upambe tu wa kishabiki katika wakati huu ambao CDM kinaendelea kuwa ndio chama pekee chenye upinzani wa kweli nchini.....Labda tu kama Magesi una maslahi binafsi na uwepo wa Esther ndani ya BARAZA, lakini vinginevyo umakini unatakiwa.[/QUOTE]
 
Naamini katika mfumo wa chama sina maslah kwa Esther nafanya hv kwa nia njema kwa maslah ya chama chetu 2nahtaj uongoz wa BAWACHA uondolewe uwekwe mwingine hta bila uwepo wa Esther
 
hivi ni lazima vyama vya siasa viwe na umoja/mabaraza ya wanawake,vijana na wazee?mbona sijasikia umoja/baraza la vijana,wanawake au wazee la republican na democrat huko USA au labour na consevative huko UK?Kwanza siasa za huko hazina ofisi wala uongozi sijui wa mashina/msingi, matawi.kata wala wilaya.wenzetu wala hawana kadi za vyama wala hawachagui viongozi kwa kufuata vyama bali ilani za uchaguzi.ndiyo maana kuna wamarekani waliomchagua obama kwenye uchaguzi uliopita na huenda mwaka huu wasimpigie kura na wapo ambao hawakumpigia kura lakini mwaka huu wakaamua kumpigia.mimi sikubaliani na huu utaratibu wa kuwa na jumuia za vyama kwani zinachanganya watu sana.kwa mfano mwanamke anaweza kuwa mwanachama wa BAWACHA/UWT wakati huohuo mwanachama wa baraza la wazee/jumuia ya wazazi!vilevile vijana wa kiume na wa kike wenye umri kati ya miaka 35 na 40 hao utawaweka katika kundi gani?maana BAVICHA/UVCCM huko hawatakiwi na kwenye hayo mabaraza mengine pia hawana vigezo.
 
hivi ni lazima vyama vya siasa viwe na umoja/mabaraza ya wanawake,vijana na wazee?mbona sijasikia umoja/baraza la vijana,wanawake au wazee la republican na democrat huko USA au labour na consevative huko UK?Kwanza siasa za huko hazina ofisi wala uongozi sijui wa mashina/msingi, matawi.kata wala wilaya.wenzetu wala hawana kadi za vyama wala hawachagui viongozi kwa kufuata vyama bali ilani za uchaguzi.ndiyo maana kuna wamarekani waliomchagua obama kwenye uchaguzi uliopita na huenda mwaka huu wasimpigie kura na wapo ambao hawakumpigia kura lakini mwaka huu wakaamua kumpigia.mimi sikubaliani na huu utaratibu wa kuwa na jumuia za vyama kwani zinachanganya watu sana.kwa mfano mwanamke anaweza kuwa mwanachama wa BAWACHA/UWT wakati huohuo mwanachama wa baraza la wazee/jumuia ya wazazi!vilevile vijana wa kiume na wa kike wenye umri kati ya miaka 35 na 40 hao utawaweka katika kundi gani?maana BAVICHA/UVCCM huko hawatakiwi na kwenye hayo mabaraza mengine pia hawana vigezo.
Kwa KATIBA ILIYOPO NA MFUMO WA UONGOZ HUWEZ KUYAEPUKA HAYA
 
Ndg wana JF,
Natumia nafasi hii kumuuliza mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mh. Mbowe kuhusu uhai wa mabaraza haya mawili ya chama,lile la wazee na wanawake.

Siku nyingi kweli haya mabaraza sijayasikia katika medani ya siasa kama wenzao BAVICHA, sasa sijui kulikoni kamanda wetu mkuu Mbowe.

Kama nilivyo mimi naamini kutakuwepo wengine makamanda wanajiuliza maswali mengi lakini yasio na majibu, naamini kupitia hapa ama kwingineko utatupa majibu ya kinachoendelea katika mabaraza haya.

Lakini pia kama na viongozi wa mabaraza haya wapo nao waweza kutoa majibu ya kwanini hawasikiki,nawe kamanda unayeguswa na hali hii ya kutowasikia makamanda wanawake na wazee waweza kutia msukumo.

Nawasilisha tafadhali.
 
Umenena mkuu naunga hoja mkono Mia kwa Mia,lkn viongozi hao bado wanafanya kampeni za chini chini waendelee Kuongoza mabaraza hayo,ningekuwa mjumbe SWALI la kwanza Kwao ni kuwa wameyafanyia nini mabaraza hayo mpaka sasa?
 
Kama kuna M4C, kama kuna vikao vizito vya chama, kama kuna maamuzi yanafanyika, kama chama bado ni imara basi maana yake hayo mabaraza yapo na yanafanya kazi nzuri..tatizo letu ni presha tulizonazo ziko juu mno!
Wazee wanashauri tu hawawezi kupanda majukwaani halikadhalika akina mama sio watu wa majukwaani japo nakubaliana kwamba hawa wanapaswa kuamka kidogo maana ni muhimu waanze japo kufanya makongamano na akina mama wenzao mikoani lakini tusisahau ni suala la pesa pia, je fedha za kuendesha M4C na wakati huohuo Bavicha wawe nayo, baraza la wazee pia waendeshe yao zipo?
 
Umenena mkuu naunga hoja mkono Mia kwa Mia,lkn viongozi hao bado wanafanya kampeni za chini chini waendelee Kuongoza mabaraza hayo,ningekuwa mjumbe SWALI la kwanza Kwao ni kuwa wameyafanyia nini mabaraza hayo mpaka sasa?

Mzee gani mwenye akili zake akataka baraza lenu, mie hapa naliogopa baraza lenu kama ukoma japokuwa ni mzee! Mnapnda kufanya chambo raia, mtawapatata hao hao vijana wanywao viroba! eh he he!
 
Kwa yoyote anae usika bawacha wapo kimya sana au upande wangu mimi ndio nipo slow kupata habari zao sipati kusikia kutoka kwao au adi mtu ajitoe ndio tupate info kama huku pande zangu kuna wakina mama wakutosha na wenye molali bt support wanayo pata sio kihvyo hlo nalo nitatizo tunamwagilia upande mmoja tu mama slaa ebu jaribu kuwapanga na hawa wakina mama tungependa nao wapate kusimama wapo tena wanatamani tujaribu kuwajengea njia yakupita nao 2015
 
Chadema walisema mwaka huu ni wawana wake lakini mpaka leo mwezi wa tatu sasa sioni harakati za wanawake, sijui wanawake tanzania wanamatatizo gani wanasubiri kuwezeshwa...
 
Wanajipanga...vumilieni kdg, taratibu zitatangazwa karibuni!
 
mama NAOMI KAIHULA simama imara tunataka kuwaona wanawake wa TZ wakijitambua .Wengi HAWAJITAMBUI KABISA.
 
Sure wanawake wanahitajika sana katika Ukombozi. Ujumbe umefika viongozi wetu sio wavivu kupita humu
 
Mary mary tunataka msimame wima wakina mama tupate kuwasikia nanyi

Asante sana, hao kina mama wako pande zipi? kama vipi ni-PM mahali walipo, magamba wasione wakawawahi kuhonga vitenge na t shirts...
 
Ni kweli mkuu BAWACHA hawasikiki kabisa,Tunawaomba wanawake amkeni bila nyinyi ukombozi wa Taifa hili utakuwa mgumu! Amkeni BAWACHA......!!!!
 
waonge na mimi vizuri niwape Mama Agape awachangamshe havumi lakini yumo, waliopewa dhamana na chama kuwa viongoz sijui ni kaz za nyumbani kama kupika, kudeck na majukumu ya baba au familia yamewazidi hawana muda kwa kifupi hawaeleweki wengine ndo hata jina la umoja wao bawacha ndo tunalisikia wameshindwa hata utambulisho wa idara yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom