Bavicha..!!

WanaJF,
Bila shaka asilimia kubwa ya wachangiaji wa Mtandao huu ni wapenda mabadiliko.WanaJF mnapenda kuona mabadiliko kwa vitendo na si kwa maneno.
Kuhusu suala la BAVICHA mimi si msemaji lakini ni mwanachama.Naomba tuwe na subira.Ni karibia miezi miwili tu tangu uongozi wa BAVICHA uchaguliwe.Kwa vyovyote vile katika hicho kipindi ni lazima kuwe na mambo ya kuwekwa sawa na propgramme nyingi zilizoingilia kwa mfano baadhi ya viongozi kuwa nje ya nchi na ratiba nyingine zilizoingilia kati hasa hizi za Bajeti

Pia,tutambue kuwa sote kama tuna mapenzi ya dhati kuona upinzani imara na mabadiliko ya haraka Tanzania kisiasa,kiuchumi na kijamii na hasa sera nzito zinazoathiri vijana ambao ni asilimia kubwa ya population yetu lakini kwa bahati mbaya ndiyo wahanga wa sera mbovu za kiuchumi,kisiasa na kijamii basi tunawajibika kwa pamoja kuwapa sapoti na kutoa maoni ya dhati ili Bavicha iweze kusimama na kutekelezaa wajibu wake.CHADEMA kama chama makini cha siasa Tanzania hakijawahi kukosa umakini katika mambo na mipango yake.Natambua kuwa hapa ni kwenye jukwaa la hadhara si website ya chadema,lakini sote tunawajibika na tunatamani upinzani imara na tunatarajia kuwa na serikali makini itakayoundwa na Chadema hapo mwaka 2015.

Ni dhahiri kwamba mabadiliko ya kisiasa ni lazima yawe na nguvu ya vijana.

Ni lazima tukiri kwamaba wenzetu UVCCM na chama chao wameanza harakati za kujisafisha iwe kimaigizo au kwa dhati but ukweli unabaki kwamba ni lazima tuongeze kasi,ni lazima mikakati yetu pamoja na outreach ziwe za kutosha kwa sababu hatuwezi kutegemea uchafu na madhaifu ya CCM ndiyo yatuingize ikulu mwaka 2015.Mabadiliko ya aina hiyo hayatakuwa na manufaa,so we must act boldly and on due time.Ukishaona wenzetu kama akina Bashe wanaomba maoni kwenye mitandao kama hii ujue wamesoma alama za nyakati,so inabidi tuwe mbele yao zaidi mara mbili katika mbinu na mikakati.

Kila mmoja anatambua 2015, No youths,no Vote. Maandaalizi yetu tactically,technically and strategically yanategemea na mkakati wetu kama vijana.

Pia,kwa wale wanaoleta persona issues na kujadili trivial issues kwenye hoja za kitaasisi sidhani kama wana malengo mema na sisi au pengine wameteleza.Kuna ambaye ametaka kufananisha Bavicha na UVCCM,huyo nampa pole.Baadhi ya wanachama kwenye vyama vya siasa wanaweza kuwa dhaifu kama wanachama wa chama kingine cha siasa lakini Taasisi ni tofauti.So the SWOT analysis ya Bavicha iko tofauti sana UVCCM

Nakumbusha.....2015, No youths,No Vote ! sote tuwajibike ili 2015 tukiondoe chama dhalimu kilichoshindwa madarakani.vijana wengi wenye uwezo na vigezo jiandaeni kugombea nyadhifa mbalimbali.Mwaka 2015 tunaweza kuweka historia Afrika kwa kuwa chama Tawala(sorry,chama Ongozi) kwa kukiondoa chama kikongwe Afrika lakini kilichopoteza Dira.Tutakuwa chama mbadala kilichoingiza vijana wengi zaidi bungeni na kuunda serikali,tutakuwa na Bunge la vijana kuliko mabunge mengine yote Afrika.Tuwajibike,tuwe na ujasiri,tusiogope wanasiasa walioshindwa.let us Dare!

Aint no change without the power of youths ! ! !
 
kuna viongozi wa bavicha au majina ya viongozi wa bavicha. Ule uongozi ni kama viti maalumu.haina tofauti na pacha wao uvccm unawapa uongozi watu wasio na uwezo wala mvuto unategemea nini by daway mr mbowe na bwana slaa wanaua chama waliwafanyia fitina kina mchange,saane,nyakarungu.wakiogopa eti wakichukua uongozi itakuwa ngumu kwao kuendeleza ufisadi na kubwa kwakua wote haziendi nao walijua wanaweza tengeneza mtandao 2013 ukawatoa kwenye power wakashndwa endeleza biashara zao mle ndani ya chama yule slaa nae huwa kama mtambo kichwani wakati anawahoji wagombea ndani sababu za kuenguliwa alisema tofauti na alizosema kwa waandishi busara 2 ndo ilitumika ule uchaguzi ungevurugika

Kingxvi,

Tugange yajayo,tusonge mbele kwa ujasiri ......Plato anakufundisha,courage is a kind of salvation. comrade Evo Morales wa Bolivia anatuasa 'It's not about conquering, it's about convincing, persuading about our concrete proposals with transparency and honesty'

Mkumbuke Mwanamapinduzi wa kweli,mwana wa Africa... Ahmed sekou Toure kwenye kitabu chake volume 2, " The permanent struggle'....alituasa

'People of Africa, from now on you are reborn in history, because you mobilize yourself in the struggle and because the struggle before you restores to your own eyes and renders to you, justice in the eyes of the world'
 
WanaJF,Bila shaka asilimia kubwa ya wachangiaji wa Mtandao huu ni wapenda mabadiliko.WanaJF mnapenda kuona mabadiliko kwa vitendo na si kwa maneno.Kuhusu suala la BAVICHA mimi si msemaji lakini ni mwanachama.Naomba tuwe na subira.Ni karibia miezi miwili tu tangu uongozi wa BAVICHA uchaguliwe.Kwa vyovyote vile katika hicho kipindi ni lazima kuwe na mambo ya kuwekwa sawa na propgramme nyingi zilizoingilia kwa mfano baadhi ya viongozi kuwa nje ya nchi na ratiba nyingine zilizoingilia kati hasa hizi za BajetiPia,tutambue kuwa sote kama tuna mapenzi ya dhati kuona upinzani imara na mabadiliko ya haraka Tanzania kisiasa,kiuchumi na kijamii na hasa sera nzito zinazoathiri vijana ambao ni asilimia kubwa ya population yetu lakini kwa bahati mbaya ndiyo wahanga wa sera mbovu za kiuchumi,kisiasa na kijamii basi tunawajibika kwa pamoja kuwapa sapoti na kutoa maoni ya dhati ili Bavicha iweze kusimama na kutekelezaa wajibu wake.CHADEMA kama chama makini cha siasa Tanzania hakijawahi kukosa umakini katika mambo na mipango yake.Natambua kuwa hapa ni kwenye jukwaa la hadhara si website ya chadema,lakini sote tunawajibika na tunatamani upinzani imara na tunatarajia kuwa na serikali makini itakayoundwa na Chadema hapo mwaka 2015. Ni dhahiri kwamba mabadiliko ya kisiasa ni lazima yawe na nguvu ya vijana.Ni lazima tukiri kwamaba wenzetu UVCCM na chama chao wameanza harakati za kujisafisha iwe kimaigizo au kwa dhati but ukweli unabaki kwamba ni lazima tuongeze kasi,ni lazima mikakati yetu pamoja na outreach ziwe za kutosha kwa sababu hatuwezi kutegemea uchafu na madhaifu ya CCM ndiyo yatuingize ikulu mwaka 2015.Mabadiliko ya aina hiyo hayatakuwa na manufaa,so we must act boldly and on due time.Ukishaona wenzetu kama akina Bashe wanaomba maoni kwenye mitandao kama hii ujue wamesoma alama za nyakati,so inabidi tuwe mbele yao zaidi mara mbili katika mbinu na mikakati.Kila mmoja anatambua 2015, No youths,no Vote. Maandaalizi yetu tactically,technically and strategically yanategemea na mkakati wetu kama vijana.Pia,kwa wale wanaoleta persona issues na kujadili trivial issues kwenye hoja za kitaasisi sidhani kama wana malengo mema na sisi au pengine wameteleza.Kuna ambaye ametaka kufananisha Bavicha na UVCCM,huyo nampa pole.Baadhi ya wanachama kwenye vyama vya siasa wanaweza kuwa dhaifu kama wanachama wa chama kingine cha siasa lakini Taasisi ni tofauti.So the SWOT analysis ya Bavicha iko tofauti sana UVCCMNakumbusha.....2015, No youths,No Vote ! sote tuwajibike ili 2015 tukiondoe chama dhalimu kilichoshindwa madarakani.vijana wengi wenye uwezo na vigezo jiandaeni kugombea nyadhifa mbalimbali.Mwaka 2015 tunaweza kuweka historia Afrika kwa kuwa chama Tawala(sorry,chama Ongozi) kwa kukiondoa chama kikongwe Afrika lakini kilichopoteza Dira.Tutakuwa chama mbadala kilichoingiza vijana wengi zaidi bungeni na kuunda serikali,tutakuwa na Bunge la vijana kuliko mabunge mengine yote Afrika.Tuwajibike,tuwe na ujasiri,tusiogope wanasiasa walioshindwa.let us Dare!Aint no change without the power of youths ! ! !
ebana Ben umejibu vizuri sana na umeweza kuwakilisha wanachama wa Bavicha,je hakuna kiongozi yoyote wa Bavicha ambaye yupo ndani ya JF na ku2ambia mikakati yao!
 
ebana Ben umejibu vizuri sana na umeweza kuwakilisha wanachama wa Bavicha,je hakuna kiongozi yoyote wa Bavicha ambaye yupo ndani ya JF na ku2ambia mikakati yao!

Nadhani watakuja ila ingekuwa vizuri kama wakija wakiwa wamejiandaa na Programu yote mkuu,pengine tungewapa muda kidogo
 
wakati mwingine inakuwa ngumu kufikiri vizuri ni matatizo ya kawaida ya binadamu lakini usipokubali kubadilika wewe unakuwa na nia ya kupotosha jamii yenye fikra za upeo hiyo inakuwa ngumu sana! hebu fikiria unapomsema heche kuwa anaishi kwa ndugu yake unataka akakae hotelini kama waziri wa serikali yako! anayekaa new african? au akapange wapi maana NHC ZOTE MMEWAPA WAPIGA KURA WENU WAASIA UPANGA swala hapa ni kumpa support huyu kijana mdogo HECHE mwenye UVUMILIVU wa hali ya juu kujenga BAVICHA yenye nguvu taratibu kukomboa vijana tunaomfana maana ni wengi tunaishi kwa ndugu nje na ndani ya dar na heche kwa dhamira anaweza LUGHA! KIINGEREZA HAKIPO GERMAN! kama sikosei yule mpampanaji ni muhitimu wa SAUT MWZ akisomea BA EDUCATION LANGUAGE,HISTORY hapo tu ameishasahau lugha matusi mengine ya udini msilete humu mlaumu aliyewapotosha mpaka msahau hata umeme,hospitali,kiwango cha elimu kushuka mafuta kupanda bei
 
Sina shaka na Heche ila nadhani amebanwa na mfumo uliopo.Ukiwa chini ya Slaa,lolote unalofanya sharti lipitie kwake na baraka zake zitoke,iwapo hakibaliani na proposal yako huwa ananyamaza kimya kwa muda unaopitiliza kama ilivyotokea kwa madiwani wa Arusha.

Heche ni mtu wa mambo haraka na upenda kusimama mwenyewe na pengine kutoa matamko kama Julius Malema.Slaa kwa sasa si Mbunge hivyo kazi kuu ni chama na ndio Master Plan hivyo kama Heche akihitaji kwenda kinyume nae ni dhahiri hatosurvive.Bila shaka atakuwa amekwisha wasilisha proposal yake na Dr. Kaituliza kwanza aidha kwa kuhofia kijana kuchanganya mambo huko kwa Pipoz ama wakati mwingine kumfunika kutokana na speed yake ya kikurya.

Iwapo maoni ya Ben hapa yametoka moyoni mwake kwa dhati na si majungu (kuonyesha umoja pasipo umoja) basi ni dhahiri kuna mkakati unaendelea ndani ya BAVICHA na Chama chenyewe.
 
acha dharau wewe yuko ujerumani alikokwenda kupewa mafunzo ya kiingereza na namna ya kupigana na wapinzani wao wa ccm na nccr, na kupewa mikakati ya kuwashinda waislaamu kwani anapewa mafunzo na chama cha kikristo huko germany bwana.
halafu huoni alizuiwa asifanye uteuzi wa viongozi wengine, unadhani hapo baraza lake litafanayaje kazi, bila mratibu wa uhamasishaji, bila katibu na manaibu wao.
slaa akasema wamezuia ili wachague wajumbe katika mikoa yote lakini undani unasema wamasiktisha baada ya kuona zitto yuko karibu nae hahahahaa homa ya jamaa!..... hawa watachukua nchi kwa namna hii? mm nasema wamlete yeyote tu tunamchapa tena kwa 80% zaidi 2015
na igunga mwambieni slaa aende.

... when sphincters do teh thinking and brains do the dilation

jack a$$
 
Tangu uongozi mpya wa Bavicha uingie madarakani naona kimya! Au ndo kujipanga? Maana magamba wanazunguka 2 mikoan! Heche vp? Au zilikuwa nguvu za soda! Peoples 2sisubiri mpaka uchaguzi maana watanzania wanatakiwa kufunguliwa!


Hoja ya KIPUUZI KABISA! Ama muanzisha maada hajui anachotaka kusema au analo lake jambo ameshaconclude so anatafuta tu mass support na kuingiza katika umma mawazo yake potofu. Kwanza ameanza kwa kusema kuwa "uongozi mpya wa Bavicha uingine madarakani ni kimya" lakini katika hoja hiyo hiyo anasema "labda ilikuwa nguvu ya hoja" sasa hapa anaamnisha nini? Maanake anakiri kuwa uongozi huo ulishaanza kufanya kazi fulani kwa kasi ambayo uliufanya usikike ndo maana anahisi ilikuwa nguvu ya soda, kama ungekuwa kimya asingesema kuwa 'au ilikuwa nguvu ya soda'. This is nonsense.

Haya kisha anasema 'Magamba wanazunguka tu m ikoani'. So what! Kwa kuwa magamba wanazunguka tu mikoani, Bavicha nao wazunguke tu mikoani? Lakini pia kama hoja yake ilikuwa ni BAVICHA, basi tulitegemea atuambie kuwa UVCCM wanazunguka tu huko, wakati Bavicha wamekaa tu Dar. Ilikuwa kitu kizuri kama ungeonesha nia ya kutaka kujua ratiba ya hao Bavicha, ndo ujenge hoja, badala ya kutaka ku-personalize hoja yako kwa kumsukumia Kamanda Heche. Aaaagh, tujenge hoja jamani. That is great thinking.
 
ni aibu sana kwa viongozi hao wa hiyo BAVICHA..(BABA VICHAAA) wamekaa kimya na anayejitokeza na kujibu hoja anagalau kwa kuwapa watu matumaini ni mtu mwingine kabisa Ben, ben alienguliwa kwa kisingizio cha kuwa ni pandikizi la ccm, leo yeye ndiye anakitetea cdm humu, hahaaa huyo heche yuko wapi au nae ana ID feki anatukania watu?
 
Sidhani kama CDM wanayo sera ya kutoa nyumba kwa viongozi wake. Kwani Malisa amepewa nyumba na Magamba?
Mkuu, nadhani utakuwa umesahau Mbowe alisema CDM wanampa Dk Slaa nyumba na wanampa posho ya milioni saba na nusu kwa mwezi
 
Hoja ya KIPUUZI KABISA! Ama muanzisha maada hajui anachotaka kusema au analo lake jambo ameshaconclude so anatafuta tu mass support na kuingiza katika umma mawazo yake potofu. Kwanza ameanza kwa kusema kuwa "uongozi mpya wa Bavicha uingine madarakani ni kimya" lakini katika hoja hiyo hiyo anasema "labda ilikuwa nguvu ya hoja" sasa hapa anaamnisha nini? Maanake anakiri kuwa uongozi huo ulishaanza kufanya kazi fulani kwa kasi ambayo uliufanya usikike ndo maana anahisi ilikuwa nguvu ya soda, kama ungekuwa kimya asingesema kuwa 'au ilikuwa nguvu ya soda'. This is nonsense. Haya kisha anasema 'Magamba wanazunguka tu m ikoani'. So what! Kwa kuwa magamba wanazunguka tu mikoani, Bavicha nao wazunguke tu mikoani? Lakini pia kama hoja yake ilikuwa ni BAVICHA, basi tulitegemea atuambie kuwa UVCCM wanazunguka tu huko, wakati Bavicha wamekaa tu Dar. Ilikuwa kitu kizuri kama ungeonesha nia ya kutaka kujua ratiba ya hao Bavicha, ndo ujenge hoja, badala ya kutaka ku-personalize hoja yako kwa kumsukumia Kamanda Heche. Aaaagh, tujenge hoja jamani. That is great thinking.
Unajua kiswahili vizuri au unakurupuka? Nimeuliza kuwa ha2ckii lolote kutoka kwa bavicha tangu uchaguzi upite..je ndo kujipanga? Na harakati nyingi za CDM zinafanywa kwa ukubwa na Wabunge kwa hiyo nilitaka kupewa mikakati ya Bavicha na mwenyekiti wake au kiongozi yoyote..
 
Tangu uongozi mpya wa Bavicha uingie madarakani naona kimya! Au ndo kujipanga? Maana magamba wanazunguka 2 mikoan! Heche vp? Au zilikuwa nguvu za soda! Peoples 2sisubiri mpaka uchaguzi maana watanzania wanatakiwa kufunguliwa!

Sometimes kuna vitu vinashangaza!! yaani CDM na ubunifu woote walikosa jina Bavichaa!! what a name! common guys you can come with a better naim!
 
Wamepanga Maandamano nchi nzima mjitokeze kwa wingi tu

Maandamano ni haki ya msingi,wanaandamana watanzania....serikali itekeleze wajibu wake ili watanzania wasione logic ya kuandamana.CHADEMA na hasa BAVICHA inatekeleza wajibu wake ambao unajumuisha maandamano,sijui wasipohamasisha CHADEMA unataka nani atekeleze huo wajibu?
 
PHP:
Ni lazima tukiri kwamaba wenzetu UVCCM na chama chao wameanza harakati za kujisafisha iwe kimaigizo au kwa dhati but ukweli unabaki kwamba ni lazima tuongeze kasi,ni lazima mikakati yetu pamoja na outreach ziwe za kutosha kwa sababu hatuwezi kutegemea uchafu na madhaifu ya CCM ndiyo yatuingize ikulu mwaka 2015.Mabadiliko ya aina hiyo hayatakuwa na manufaa,so we must act boldly and on due time.Ukishaona wenzetu kama akina Bashe wanaomba maoni kwenye mitandao kama hii ujue wamesoma alama za nyakati,so inabidi tuwe mbele yao zaidi mara mbili katika mbinu na mikakati
.


@ Ben Nimeqoute neno lako hili ni neno la busara lenye ujumbe mpana sana Vijana ni chachu kuu ya mabadiliko na yeyote anayetaka kuikomboa nchi yetu hawezi kukurupuka atahitaji maandalizi na mipango mikakati ya hali ya juu tunawaamini vijana katika chama chenu kwamba mukitumia bongo za kila mmoja wenu kama Bavicha hakika mutatuvusha sometimes am proud of you nto always any way
 
Vijana wanajipanga... Tulieni wakitoka ni kazi tu ya kuwafungua wananchi na ufisadi wa nchi hii na kupanga mikakati ya maendeleo ya nchi hii..
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom