acha dharau wewe yuko ujerumani alikokwenda kupewa mafunzo ya kiingereza na namna ya kupigana na wapinzani wao wa ccm na nccr, na kupewa mikakati ya kuwashinda waislaamu kwani anapewa mafunzo na chama cha kikristo huko germany bwana.halafu huoni alizuiwa asifanye uteuzi wa viongozi wengine, unadhani hapo baraza lake litafanayaje kazi, bila mratibu wa uhamasishaji, bila katibu na manaibu wao.slaa akasema wamezuia ili wachague wajumbe katika mikoa yote lakini undani unasema wamasiktisha baada ya kuona zitto yuko karibu nae hahahahaa homa ya jamaa!..... hawa watachukua nchi kwa namna hii? mm nasema wamlete yeyote tu tunamchapa tena kwa 80% zaidi 2015na igunga mwambieni slaa aende.
Usiwe mwongo wewe, Heche yupo sinza jirani na Maeda Bar anatunzwa na kaka yake na hata jana niimwona, labda ujerumani unayoisema wewe siku hizi imehamia Moriacha dharau wewe yuko ujerumani alikokwenda kupewa mafunzo ya kiingereza na namna ya kupigana na wapinzani wao wa ccm na nccr, na kupewa mikakati ya kuwashinda waislaamu kwani anapewa mafunzo na chama cha kikristo huko germany bwana.halafu huoni alizuiwa asifanye uteuzi wa viongozi wengine, unadhani hapo baraza lake litafanayaje kazi, bila mratibu wa uhamasishaji, bila katibu na manaibu wao.slaa akasema wamezuia ili wachague wajumbe katika mikoa yote lakini undani unasema wamasiktisha baada ya kuona zitto yuko karibu nae hahahahaa homa ya jamaa!..... hawa watachukua nchi kwa namna hii? mm nasema wamlete yeyote tu tunamchapa tena kwa 80% zaidi 2015na igunga mwambieni slaa aende.
Mkuu, kwani CDM bado hawajampa nyumba mpaka anatunzwa na kaka yake?Usiwe mwongo wewe, Heche yupo sinza jirani na Maeda Bar anatunzwa na kaka yake na hata jana niimwona, labda ujerumani unayoisema wewe siku hizi imehamia Mori
Hakuna neno jema linaloweza kutoka kwa magamba hata mara moja.acha dharau wewe yuko ujerumani alikokwenda kupewa mafunzo ya kiingereza na namna ya kupigana na wapinzani wao wa ccm na nccr, na kupewa mikakati ya kuwashinda waislaamu kwani anapewa mafunzo na chama cha kikristo huko germany bwana.
halafu huoni alizuiwa asifanye uteuzi wa viongozi wengine, unadhani hapo baraza lake litafanayaje kazi, bila mratibu wa uhamasishaji, bila katibu na manaibu wao.
slaa akasema wamezuia ili wachague wajumbe katika mikoa yote lakini undani unasema wamasiktisha baada ya kuona zitto yuko karibu nae hahahahaa homa ya jamaa!..... hawa watachukua nchi kwa namna hii? mm nasema wamlete yeyote tu tunamchapa tena kwa 80% zaidi 2015
na igunga mwambieni slaa aende.
acha dharau wewe yuko ujerumani alikokwenda kupewa mafunzo ya kiingereza na namna ya kupigana na wapinzani wao wa ccm na nccr, na kupewa mikakati ya kuwashinda waislaamu kwani anapewa mafunzo na chama cha kikristo huko germany bwana.
halafu huoni alizuiwa asifanye uteuzi wa viongozi wengine, unadhani hapo baraza lake litafanayaje kazi, bila mratibu wa uhamasishaji, bila katibu na manaibu wao.
slaa akasema wamezuia ili wachague wajumbe katika mikoa yote lakini undani unasema wamasiktisha baada ya kuona zitto yuko karibu nae hahahahaa homa ya jamaa!..... hawa watachukua nchi kwa namna hii? mm nasema wamlete yeyote tu tunamchapa tena kwa 80% zaidi 2015
na igunga mwambieni slaa aende.
Hata mimi...! Kweli jamaa pumbavu sana!i'm asking the same question as well
Wamepanga Maandamano nchi nzima mjitokeze kwa wingi tuSwala hapa ni kujua BAVICHA wamepanga kufanya nin mwaka huu.Ukishayajua hayo basi unaweza kujadiri utendaji kazi wa Heche.
Sasa imekuwa kawaida humu ndani watu wametekwa na jinamizi la kujadili majungu na mambo yasiyokuwa na tija katika Taifa hili ambalo liko katika wakati mgumu sana! Inashangaza licha ya kuwa na mambo muhimu kabisa leo tunajadili eti HECHE anakaa kwa kaka yake, hii hata uwe upande wowote katika milengo ya kifikra haiingii akilini, Leo Tanzania tunapitia wakati mgumu sana ni wenye akili finyu tu ndo hawawezi kulitambua hili, kuna migogoro ya kijamii kila mahali kila sekta inashida, tazama kuna watu hawana maji, migogoro ya ardhi chungu nzima, Umeme ndo usiseme,mlundikano wa kesi mahakamani, Rushwa, Hospitali dawa hakuna wanaojifungua wanalala mzungu wa nne,Sakata la Rada, wabunge wageuka watoto wa chei chei shangazi mle bungeni kuna mambo chungu nzima hata nikiamua kuyataja yote siwezi kuyamaliza kwa leo, sasa mtu unapata wapi muda wa kujadili upuuzi, kujadili mambo binafsi!sehemu ya kuishi kiongozi na anaishi na nani ni suala binafsi.hoja hapa ni kwa nini hasikiki kwenye duru za kisiasa,hoja ya makzi ni finyu na haina mashiko.... inaweza kuwa na mashiko kama kama anastahili nyumba na chadema hawajampa. vinginevyo utkuwa unaongea upupu.
Swala hapa ni kujua BAVICHA wamepanga kufanya nin mwaka huu.Ukishayajua hayo basi unaweza kujadiri utendaji kazi wa Heche.