MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 887
Jana umefanyika mkutano mkubwa wa Bavicha Taifa Urambo viwanja vya Tarafani, Mwenyekiti Bavicha Taifa alihutubia sambamba na makamanda kutoka Mbeya, Iringa, Kilimanjaro, Mara. Muitikio wa vijana, Wazee, Kinadada ulikuwa mkubwa sana, pia tukio lililoshtua wengi ni kupewa kadi ya uanachama aliyekuwa mfuasi mtiifu wa Sitta bwana Harbu, Hongera makamanda, Aluta Continua.