BAVICHA wamjibu Kamanda Sirro kuhusu Mbowe kutakiwa kuripoti Polisi

BAVICHA : SIRO ACHA UMBUMBU WA SHERIA.

Kwa mamlaka yako ya Kamishna wa Kanda maalumu ya Dar es Salaam, tunaamini kabisa una uelewa mkubwa sana katika maswala ya kisheria angalau ABCD,lakini CV zako zinatuonesha wewe ni Mwanasheria kwa taaluma.

Siro wewe unatambua,nchi hii inafuata Misingi ya sheria na utawala bora na unajua utaratibu wa kumuita FREEMAN MBOWE kama Kiongozi wa chama kikuu cha Upinzani nchini lakini,pia kama kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni,mwenye hadhi ya Waziri mkuu kiitifaki,huwezi kumuita kama unaita jambazi.

Sirro wewe una weledi katika utendaji kazi na unamafunzo yanayo kuwezesha kufanya kazi zako,na katika mafunzo yako tunaamini ulifundishwa kuheshimu mihimili mingine,ili kuheshimiana,kuleta nidhamu ya kiutendaji na kuepuka migongano ya kimaslahi kwa namna moja au nyingine, nadhani ulisikia kauli ya Spika wa bunge juu ya ukamataji wa Wabunge,mbona hujatekeleza ??. hivi uliandika barua ya wito kama utaratibu unavyotaka au umeona na wewe ufanye siasa kwa wana siasa??.

Sirro unataka kutuaminisha sisi vijana wa CHADEMA na wanachadema wote ndani na nje ya nchi ni M/kiti wetu tu ndio hajafika katika yale majina64 yaliotajwa?? Mbona ni wewe kwa mdomo wako umekiri mpaka sasa wamefika watu watano Kati ya 64?? na hata kama wamezidi hapo ni MBOWE tu ndio anastahili kuitwa ndani ya saa48 tena kupitia Media ??

Sirro tukushauri katika hili, usifanye siasa kwa wanasiasa maana,utaumbuka mchana kweupe hakuna aliye juu ya sheria na hakuna anaepaswa kutumia cheo chake kwenda kinyume cha sheria na utaratibu tuliojiwekea kama Taifa, rudi angalia sheria inasemaje kuhusu ( WITO) vinginevyo utatufanya tuamini na wewe ni wale wale wanaotumika tu kwa kauli za kina bwana mkubwa.

Imetolewa February 19

Idara ya habari na uenezi
BAVICHA Taifa.
Kwani PM si amekataza kuitana kupitia redio.runinga?
au kwa walioitwa zamani hii haiwahusu?
lakini pia spika si aliomba aombwe mtu wake ndio aende? sasa mbona kama mtu anajipotosha? au sisi ndio hatujaelewa?
Ngoja tuone hapo kesho itakuwaje?
 
Hakuna barua ya wito kwa ocs nimefanya jeshi la polisi miaka 10 na sasa ni wakili najua ninachokisema mie kubwa jinga kuliko wewe dogo jinga.

M binafs nshaitwa na barua za wito c chini ya mara4 kwa kes tofaut*²
Sio rb barua Namaanisha!!
Ukinibishia we sio polisi wala wakili.
AF MBOWE NI MBUNGE NAFKIR SPIKA ASHAWEKA WAZ TARATIBU ZA KUMKAMATA MBUNGE we c wakili imeshindwa kun'gamua hata hili?

Mkuu ulndanganya utakua mwanafunzi tena wa secondary
 
We ni Jinga wakili au wakiliwa?
M binafs nshaitwa na barua za wito c chini ya mara4 kwa kes tofaut*²
Sio rb barua Namaanisha!!
Ukinibishia we sio polisi wala wakili.
AF MBOWE NI MBUNGE NAFKIR SPIKA ASHAWEKA WAZ TARATIBU ZA KUMKAMATA MBUNGE we c wakili imeshindwa kun'gamua hata hili?

Mkuu ulndanganya utakua mwanafunzi tena wa secondary
Huwezi kuitwa kwa barua na polisi kama una kesi mahakamani zaidi ya summons hakuna kesi inayofanywa polisi zaidi ya mahojiano. Mbowe alishaitwa kabla ya tamko la mh spika lazima aende au atakamatwa. Nimeafanya jeshi la polisi baada ya kumaliza bachelor of laws nikaanza kazi kama inspector baada ya miaka kumi nikaresign na sasa ni wakili wa mahakama kuu.
 
7f6e8758e7cc568f5be9d6786f821f89.jpg

ivi yule msanii anafananaga na huyu mtu vipi Sheta
 
Huwezi kuitwa kwa barua na polisi kama una kesi mahakamani zaidi ya summons hakuna kesi inayofanywa polisi zaidi ya mahojiano. Mbowe alishaitwa kabla ya tamko la mh spika lazima aende au atakamatwa. Nimeafanya jeshi la polisi baada ya kumaliza bachelor of laws nikaanza kazi kama inspector baada ya miaka kumi nikaresign na sasa ni wakili wa mahakama kuu.
Wakili em rejea kauli na mwongozo wa spaka wa Bunge!

kuhusu barua... We ushawah kushtakiwa polisi? Je walkupataje?
uliitwa na rb?
Atuwez kuelewana kuusu barua maana m naona unqbishana na uhalisia tuu
Je kabla ya kutumia nguvu kumkamata mhalifu unafanyaje kwanza?
 
Huwezi kuitwa kwa barua na polisi kama una kesi mahakamani zaidi ya summons hakuna kesi inayofanywa polisi zaidi ya mahojiano. Mbowe alishaitwa kabla ya tamko la mh spika lazima aende au atakamatwa. Nimeafanya jeshi la polisi baada ya kumaliza bachelor of laws nikaanza kazi kama inspector baada ya miaka kumi nikaresign na sasa ni wakili wa mahakama kuu.
Hamna kitu wewe upolisi wako ulikuwa unaufanya kwa mazoea na siyo kwa kufuata taratibu na huo uwakili wako ninawasiwasi na wateja unao watetea nawaonea huruma na bila shaka watakuwa wanakula sana mvua
 
Ooops! jamani tufike wakati tufahamu kuwa nchi hii ilikuwa huru miaka 55 iliyopita. Hebu tuheshimiane. Tumeweka sheria, taratibu, na kanuni za kuita watu kwa kitu fulani. Tusichefuane kwa matamko ya sifa. Tufuate sheria jamani. Vyeo vitapita lakini taaluma na Tanzania itabaki.
Bado karne hii kuna watu wanawalaumu waarabu ,wazungu na wahindi kwa mababu zetu kuwa mazwazwa kiasi cha kuuzwa kamasenene
Kizazi hicho bado kipo
 
50% ya watu weusi inasemekana wako na IQ ambayo kwa wazungu inakuwa ni kundi la watu wenye kutafsiriwa kuwa na mtindio wa Ubongo. Hivyo vituko havitasha karibuni kwa weusi
 
Huwezi kumbembeleza mtuhumiwa akamatwe tu ahojiwe kama hana hatia aachiwe, kama atapatikana na hatia afikishwe mahakamani
Tatizo ni kufuata utawala wa Sheria, kumuita hata MTU wa kawaida asiye na cheo kuna taratibu zake
Cha msingi afuate taratibu
 
Kazi ya polisi siyo usalama wa raia na mali zao.Kazi ya polisi ni kushugulikia wapinzani na kutoza faini madereva.
 
kuna shida kubwa sana kwenye hili. Wanakamata watu maarufu na kuwafikisha mahakamani kisa utumiaji ila kuna mateja wengi sana mitaani hakuna anaewauliza kitu.
 
Huwezi kuitwa kwa barua na polisi kama una kesi mahakamani zaidi ya summons hakuna kesi inayofanywa polisi zaidi ya mahojiano. Mbowe alishaitwa kabla ya tamko la mh spika lazima aende au atakamatwa. Nimeafanya jeshi la polisi baada ya kumaliza bachelor of laws nikaanza kazi kama inspector baada ya miaka kumi nikaresign na sasa ni wakili wa mahakama kuu.
Kama kweli wewe ni wakili basi ni majanga. Yawzekana hujawahi kushinda hata kesi moja.
Mbowe hakuitwa na polisi Bali aliagizwa na Mkuu wa mkoa aende polisi.
Wakilj Msomi ungeanzia hapo na sio kuanzia kwenye tangazo la msomi mwenzako wa vyeti
Wasomi wa vyeti ni moja ya matatizo ya nchi yetu. Twahaji wasomi wa vyeti na wenye ufahamu wa walichosomea ili waweze kutumia kadri ya mazingira yanayowazunguka
 
Polisi huwa hawana barua. Uliona wapi barua kutoka kituo cha polisi?
Acha uongo. Mfano wakitaka mimi niripoti hapa kituo cha kata mwenyewe, unadhani wataenda kituo cha media kuniitia huko? Kwani barua kwao n haramu?
 
Sijaona hoja uliiloijenga wewe, kama leo Lumumba mnajua kujenga hoja Mungu awasaidie sana.
Na viroba mwisho mwezi wa tatu sijui mtakunywa nn tena maana ndo kilikuwa kinywaji chenu kikuu
 
We ulvoumwa kaswendwe ultutangazia?
We n nan hadi ujue ugonjwa wa mtu?
sasa sheria haina cheo, hata kama ni kiongozi wa kisiasa, maadam kaitwa polisi hana budi kwenda. polisi wanaweza kukuita kwa maandishi lakini pia wanaweza kukuita kwa mdomo. Tusikariri kwamba polisi ni lazima akuite kwa maandishi. Ndio maana kuna wakati polisi wanaweza kukupigia simu tu na kukuomba uende kituoni labda kuna mtu kakushitaki, kwa hiyo haina tofauti na yeye anatakiwa aende tu atajificha mpaka lini?
 
Back
Top Bottom