Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
naushangaa sana uongozi wa bavicha chini ya bwana heche kwa kuendeleza kelele na majibizano yasiyo na msingi wala tija yoyote kwa cdm na wanachi kwa ujumla.sioni sababu ya wao kuibuka na kuanza kumjibu shibuda eti kisa tuu katangaza kuutaka urais kpitia cdm 2015.siioni mantiki ya vijana hawa kuacha kufanya kazi za maana za chama na kujiingiza kijinga kwenye mjadala wa shibuda.kwani ni mara ngapi watu wa aina ya shibuda wamejitokeza hadharani na kutoa matamko kama hayo na wakiulizwa wanajifanya kunakuliwa vibaya na waandishi wa habari?
Wengine mara nyingi tuu hata juzi tuu hapa kiongozi mmoja wa cdm alisikika akidai kuwa atagombea urais 2015 kana kwamba chama hakina kanuni wala taratibu za wanachama kugombea nafasi mbalimbali.
Naamini cha msingi na hata ambacho viongozi wa juu wanafanya sasa ni kujenga chama kimya kimya bila kujiingiza kwenye mtego wa kujibizana hovyo na watu hawa ambao kwa kujua au kutokujua wanatumiwa na ccm na hata mafisadi.
Naamini wahuni hawa wachache watamezwa na matukio tuu.watapiga kelele sana hukom kwenye forums za ccm lakini mbele ya wanachama na wananchi kwa ujumla hawana lolote.
My take.
Kam,ati kuu ipige marufuku utoaji huu wa matamko yaiyo na mana kwasababu yanatumiwa na wanaokihujumu chama kukichafua.
Wengine mara nyingi tuu hata juzi tuu hapa kiongozi mmoja wa cdm alisikika akidai kuwa atagombea urais 2015 kana kwamba chama hakina kanuni wala taratibu za wanachama kugombea nafasi mbalimbali.
Naamini cha msingi na hata ambacho viongozi wa juu wanafanya sasa ni kujenga chama kimya kimya bila kujiingiza kwenye mtego wa kujibizana hovyo na watu hawa ambao kwa kujua au kutokujua wanatumiwa na ccm na hata mafisadi.
Naamini wahuni hawa wachache watamezwa na matukio tuu.watapiga kelele sana hukom kwenye forums za ccm lakini mbele ya wanachama na wananchi kwa ujumla hawana lolote.
My take.
Kam,ati kuu ipige marufuku utoaji huu wa matamko yaiyo na mana kwasababu yanatumiwa na wanaokihujumu chama kukichafua.