Tukuulize Comte, kweli Hilo linawezekana?Nimesikitika sana kusikia BAVICHA ati wameenda Butiama kwenye kaburi la Nyerere kumuenzi. Naomba niwakumbeshe dhihaka zao kwa Nyerere.
BAVICHA-Mwenge upelekwe makumbusho
Lissu- wakati wa bunge la Katiba - Nyerere alikuwa laghai-
CHADEMA- serikali za ukabila za majimbo na kuvunja Muungano kwa kuleta serikali ya Tanganyika
AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA
Pia akili kiduchu huliangamiza taifa.Nimesikitika sana kusikia BAVICHA ati wameenda Butiama kwenye kaburi la Nyerere kumuenzi. Naomba niwakumbeshe dhihaka zao kwa Nyerere.
BAVICHA-Mwenge upelekwe makumbusho
Lissu- wakati wa bunge la Katiba - Nyerere alikuwa laghai-
CHADEMA- serikali za ukabila za majimbo na kuvunja Muungano kwa kuleta serikali ya Tanganyika
AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA
Mojawapo wa ujinga wa Nyerere ni aina ya hovyo ya muungano alioujenga na tatizo la mbio za mwenge
yote mawili ni ujinga tusioweza iga
Nyerere alikua mwanadamu,kuna ujinga alifanya hatufuati na kuna mazuri kafanya tunafuata
Hayo uliyotaja ni maujinga hatufuati
Nimesikitika sana kusikia BAVICHA ati wameenda Butiama kwenye kaburi la Nyerere kumuenzi. Naomba niwakumbeshe dhihaka zao kwa Nyerere.
BAVICHA-Mwenge upelekwe makumbusho
Lissu- wakati wa bunge la Katiba - Nyerere alikuwa laghai-
CHADEMA- serikali za ukabila za majimbo na kuvunja Muungano kwa kuleta serikali ya Tanganyika
AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA
UNAHANGAIKA NA HAO WAHUNI ACHANA NAO WANAKUUMIZA KICHWA TU WAENDE WAKACHEZE NA WATOTO WENZAO WAACHE WAKUBWA WAFANYE KAZINimesikitika sana kusikia BAVICHA ati wameenda Butiama kwenye kaburi la Nyerere kumuenzi. Naomba niwakumbeshe dhihaka zao kwa Nyerere.
BAVICHA-Mwenge upelekwe makumbusho
Lissu- wakati wa bunge la Katiba - Nyerere alikuwa laghai-
CHADEMA- serikali za ukabila za majimbo na kuvunja Muungano kwa kuleta serikali ya Tanganyika
AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA
Mkuu unaenda mbali huko mbona ni rahisi- Nyerere alifanya vitu vya kijinga- kupaswi kumuenzi. Kumuenzi huku ukijua ni mjinga na hukubaliani naye- ndo kinyume cha maumbile.Sijakuelewa mkuu
Tunafanya vitu kinyume na maumbile unamaanisha ushoga labda?
Kama ni hilo jibu lake ni fupi na rahisi sana,mashoga wapo vyama vyote sasa sijui wewe unadhani mashoga wapo Chadema pekee yake?
Na pia uelewe,kisayansi 5% ya viumbe vyote vina homosexuals....Ukoo wako una homosexuals
Hivyo hilo tushalimaliza na case closed.
Kuhusu Nyerere hawa vijana kwenda ni kwamba kuna baadhi ya mambo ya Nyerere tunayakubali na mengine baadhi hatuyakubali
Kama mwanadamu yeyote Nyerere ana mazuri na mabaya yake,hao wameenda kwa mazuri yake japo kuna mabaya hatukubaliani nae
Na mabaya yake tusioyapenda ni pamoja na muungano na ujinga wa mwenge,ila kuna mazuri yapo tunakubaliana nae
Kumtembelea ni symbolic kwamba tunaelewana nae na mazuri yake...
Ujinga mwingine unaoongea ni wako wewe,sikuungi mkono
Nimesikitika sana kusikia BAVICHA ati wameenda Butiama kwenye kaburi la Nyerere kumuenzi. Naomba niwakumbeshe dhihaka zao kwa Nyerere.
BAVICHA-Mwenge upelekwe makumbusho
Lissu- wakati wa bunge la Katiba - Nyerere alikuwa laghai-
CHADEMA- serikali za ukabila za majimbo na kuvunja Muungano kwa kuleta serikali ya Tanganyika
AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA
LABDA inategemea umeamkaje-
Nimesikitika sana kusikia BAVICHA ati wameenda Butiama kwenye kaburi la Nyerere kumuenzi. Naomba niwakumbeshe dhihaka zao kwa Nyerere.
BAVICHA-Mwenge upelekwe makumbusho
Lissu- wakati wa bunge la Katiba - Nyerere alikuwa laghai-
CHADEMA- serikali za ukabila za majimbo na kuvunja Muungano kwa kuleta serikali ya Tanganyika
AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA
Asante- wahusika watafanya wakiona ni sawaSio hivyo. Headline ya ku-quote mtu ndivyo inavyoandikwa. Labda useme hujui hilo.
Kwa mfano, Majaliwa akisema, “Miradi yote ya kimkakati tutaikamilisha kwa wakati”, headline yake inakuwa:
Majaliwa: Miradi yote ya kimkakati tutaikamilisha kwa wakati
Sasa hiyo tatoo ya Bob Marley kwenye mapaja yako ni ya nini- au chama cha wavutaji?huna akili kweli mleta mada ,tarehe 14 sio tarehe yakufa mwenge au kuwashwa mwenge
Kilakitu kinazama zake kilichobakia mwenge uwe makumbusho na pale dodoma litengenezwe sanamu kubwa Basi
Haaaaaaa lumumba wamekumaliza mwezako sabaya anambiwa jitetee anasema anamchumba kamtolea Mali hivyo apunguziwe adhabu Kali acheni kujisahauSasa hiyo tatoo ya Bob Marley kwenye mapaja yako ni ya nini- au chama cha wavutaji?