Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hivi wewe upo uv ccm imani au uvccm maslahi?Bavicha Mikwala tu hakuna mwenye ubavu wa kupeleka Kwato zake Chimwaga.
Kama walishindwa kukaa mita 200 kutoka eneo walilopigia kura wanaweza kufunga safari kwenda Chimwaga?
Kama walitishika kwa Uamiri jeshi wa Softspoken Jakaya watapataje ujasiri wakati huu wa kikwata kwata na fyoko fyoko.