Bavicha msiende Dodoma Chonde!!

Bavicha Mikwala tu hakuna mwenye ubavu wa kupeleka Kwato zake Chimwaga.
Kama walishindwa kukaa mita 200 kutoka eneo walilopigia kura wanaweza kufunga safari kwenda Chimwaga?
Kama walitishika kwa Uamiri jeshi wa Softspoken Jakaya watapataje ujasiri wakati huu wa kikwata kwata na fyoko fyoko.
Hivi wewe upo uv ccm imani au uvccm maslahi?
 
Ushauri wa Lituye ni mzuri. Na siyo mbaya UKAWA na vyama vya upinzani kwa ujumla vikaandaa mikutano na makongamano kwa tarehe zilezile za huo mkusanyiko wa ccm katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Halafu waipatie taarifa polisi! Ili kama polisi wakisema kuwa 'wameiruhusu' ccm kwa kuwa hali ni 'shwari' wawe wameruhusu vyama vyote kwa 'ushwari' huo!
Mkuu umemuelewa lkn lituye?
 
Bavicha mkienda Dodoma mjue tayari mtakuwa mmevunja amri ya Polisi na mtukufu ya kuzuia mikusanyiko au mikutano ya kisiasa na hatimaye mtatiwa hatiani kwa kuvunja sheria kwa kuwa sasa hali ya usalama sio nzuri Kama ilivyo tangazwa.

Tumieni Akili hata kidogo tuu, hivi mkienda huko Dodoma halafu mkavamiwa na Alsha baby au Alqaeda mkauawa mtamlaumu nani? Sisi sote tunao wajibu wa kutii sheria bila shuruti.

Chama kitakacho Fanya mikutano au maandamano kwa sasa hicho chama ni kikaidi, kiburi, na ni adui mkubwa Wa Amani yetu. Mambo ya siasa yamezuiwa kwa sasa mpaka itakapo tangazwa tena.

Msipambane na mhalifu anayetaka kuvunja sheria kwa makusudi, huwezi jua ana jivunia nini na ana siraha gani za kujihami, unaweza ukaenda wewe RAIA mwema na mapanga kumbe Adui ana siraha Kali za kivita mkaangamizwa.

Dodoma kuna Jeshi la polisi, JWTZ, Magereza, Uhamiaji na mgambo. Majeshi hayo yote yana vifaa vya kutosha kupamba na mhalifu yeyote na kuzuia mkusanyiko usio halali unao enda kinyume na sheria.

Mbona waliweza kuzuia mahafari ya Chaso na mikutano mingine mingi ya kisiasa watashindwa kuuzuia huo Wa CCM? Mbona hamna imani vijana na jeshi lenu tukufu?

Pelekeni taarifa polisi hizo za kiintelejensia kuwa kuna kikundi cha watu wahalifu kinapanga kukutana kinyume na Amri halali ya Polisi na mtukufu. Inawezekana polisi hawanasa habari ya kikundi hicho kufanya mkutano kinyume na Amri yake.

Lakini pia Kama kikundi hicho kitayazidi nguvu majeshi yetu yote na kikafanya mkutano wake kinyume na sheria au kikaachwa na kupewa ulinzi au upendeleo ili kivunje sheria basi sasa hapo BAVICHA itabidi mwende Mahakamani kukishitaki kwa kuhatarisha Amani na utulivu Wa nchi.

Mwl. Nyerere alisema "Misingi ya nchi hii imesha tikiswa, tukiendelea kuitikisa itabomoka" mwisho Wa kunukuu.
Karibuni kwa hoja zenye tija kwa taifa.
Alsha baby ndio nini?
 
Ukiona nyani anamchokoza simba ujue kuna mti karibu. Sijui chadema watarukia wapi kwani wanajitafutia balaa kwenda dodoma eti kuzuia mkutano mkuu wa ccm. Mikutano ya kisiasa iliyokatazwa inaeleweka ila cdm wana lao. Wangetaka kuweka hali sawa wangeitisha mkutano mkuu wa cdm kumuidhinisha lowassa kama mwenyekiti wao wa chama waone kama wangezuiwa. Sio eti kwenda kuzuia mkutano mkuu wa ccm. Hapo wanatafuta kick kwa roho za watu kwenda icc.
"Ukiona nyani anamchokoza simba ujue kuna mti karibu". Ujasiri wa chadema kwenda Dodoma kutibua mkutano wa ccm ni wa hali ya juu. Kuna kitu wanajiamini nacho, hiyo itakuwa jino kwa jino na sijui mwisho wake utakuwaje?
 
"Ukiona nyani anamchokoza simba ujue kuna mti karibu". Ujasiri wa chadema kwenda Dodoma kutibua mkutano wa ccm ni wa hali ya juu. Kuna kitu wanajiamini nacho, hiyo itakuwa jino kwa jino na sijui mwisho wake utakuwaje?
Kinachotafutwa hapo ni haki tu
 
Ukiona nyani anamchokoza simba ujue kuna mti karibu. Sijui chadema watarukia wapi kwani wanajitafutia balaa kwenda dodoma eti kuzuia mkutano mkuu wa ccm. Mikutano ya kisiasa iliyokatazwa inaeleweka ila cdm wana lao. Wangetaka kuweka hali sawa wangeitisha mkutano mkuu wa cdm kumuidhinisha lowassa kama mwenyekiti wao wa chama waone kama wangezuiwa. Sio eti kwenda kuzuia mkutano mkuu wa ccm. Hapo wanatafuta kick kwa roho za watu kwenda icc.
na kufanya mahafar ni mkutano wa kisiasa?
 
Bavicha Mikwala tu hakuna mwenye ubavu wa kupeleka Kwato zake Chimwaga.
Kama walishindwa kukaa mita 200 kutoka eneo walilopigia kura wanaweza kufunga safari kwenda Chimwaga?
Kama walitishika kwa Uamiri jeshi wa Softspoken Jakaya watapataje ujasiri wakati huu wa kikwata kwata na fyoko fyoko.
Chimwaga sasa hivi ni jengo la chuo kikuu Dodoma, halitumiki kwa mikutano ya CCM tena.
 
Bavicha mkienda Dodoma mjue tayari mtakuwa mmevunja amri ya Polisi na mtukufu ya kuzuia mikusanyiko au mikutano ya kisiasa na hatimaye mtatiwa hatiani kwa kuvunja sheria kwa kuwa sasa hali ya usalama sio nzuri Kama ilivyo tangazwa.

Tumieni Akili hata kidogo tuu, hivi mkienda huko Dodoma halafu mkavamiwa na Alsha baby au Alqaeda mkauawa mtamlaumu nani? Sisi sote tunao wajibu wa kutii sheria bila shuruti.

Chama kitakacho Fanya mikutano au maandamano kwa sasa hicho chama ni kikaidi, kiburi, na ni adui mkubwa Wa Amani yetu. Mambo ya siasa yamezuiwa kwa sasa mpaka itakapo tangazwa tena.

Msipambane na mhalifu anayetaka kuvunja sheria kwa makusudi, huwezi jua ana jivunia nini na ana siraha gani za kujihami, unaweza ukaenda wewe RAIA mwema na mapanga kumbe Adui ana siraha Kali za kivita mkaangamizwa.

Dodoma kuna Jeshi la polisi, JWTZ, Magereza, Uhamiaji na mgambo. Majeshi hayo yote yana vifaa vya kutosha kupamba na mhalifu yeyote na kuzuia mkusanyiko usio halali unao enda kinyume na sheria.

Mbona waliweza kuzuia mahafari ya Chaso na mikutano mingine mingi ya kisiasa watashindwa kuuzuia huo Wa CCM? Mbona hamna imani vijana na jeshi lenu tukufu?

Pelekeni taarifa polisi hizo za kiintelejensia kuwa kuna kikundi cha watu wahalifu kinapanga kukutana kinyume na Amri halali ya Polisi na mtukufu. Inawezekana polisi hawanasa habari ya kikundi hicho kufanya mkutano kinyume na Amri yake.

Lakini pia Kama kikundi hicho kitayazidi nguvu majeshi yetu yote na kikafanya mkutano wake kinyume na sheria au kikaachwa na kupewa ulinzi au upendeleo ili kivunje sheria basi sasa hapo BAVICHA itabidi mwende Mahakamani kukishitaki kwa kuhatarisha Amani na utulivu Wa nchi.

Mwl. Nyerere alisema "Misingi ya nchi hii imesha tikiswa, tukiendelea kuitikisa itabomoka" mwisho Wa kunukuu.
Karibuni kwa hoja zenye tija kwa taifa.
Waacheni WAENDE...Kwani wako wangapi...... vikosi vya ulinzi vipo vya kutosha! Dodoma tuna vikosi kadhaa vya JW, FFU, JKT ambavyo vina kiu ya muda mrefu ya kufanya mazoezi!
 
Ukiona nyani anamchokoza simba ujue kuna mti karibu. Sijui chadema watarukia wapi kwani wanajitafutia balaa kwenda dodoma eti kuzuia mkutano mkuu wa ccm. Mikutano ya kisiasa iliyokatazwa inaeleweka ila cdm wana lao. Wangetaka kuweka hali sawa wangeitisha mkutano mkuu wa cdm kumuidhinisha lowassa kama mwenyekiti wao wa chama waone kama wangezuiwa. Sio eti kwenda kuzuia mkutano mkuu wa ccm. Hapo wanatafuta kick kwa roho za watu kwenda icc.
rais kasema mikutano ya kisiasa mpaka 2020, amesema sasa hivi ni kazi tu. Jeshi la polisi limesema hali ya usalama nchini kwa sasa hivi ni mbaya sana, kwa hiyo mikusanyiko ya kisiasa ya nje na ndani yote hairuhusiwi. Kama wamekataza mahafali..hiyo mingine inaruhusiwaje? kifupi Magufuli alimaanisha kwamba harakati za kisiasa za wapinzani hazitakiwi nchi hii. Halafu lile jina aliloitwa na yule jamaa linawasha namna gani wakati ni ukweli tu?
 
Back
Top Bottom