Dili la uuzaji wanawake viti maalum kitumwa kwa Ndungai ni dili la mbowe na Salum mwalimu bila Lisu wala mnyika, kimbembe ni kesho kwani tayari Halima mdee keshamdharau mnyika na huyo mnyika hatupo tayari kudharauliwa
Hilo ni Tatizo kubwa watumwa wa kike waliouzwa kwa Ndungai hawana nidhamu kwa Uongozi kabsa ndiyo maana Halima mdee kaanza kumchafua mnyika kwenye mitandao
Hilo ni Tatizo kubwa watumwa wa kike waliouzwa kwa Ndungai hawana nidhamu kwa Uongozi kabsa ndiyo maana Halima mdee kaanza kumchafua mnyika kwenye mitandao
Kamati tendaji ya Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) usiku wa kuamkia leo imefanya kikao chake cha dharura kilichoongozwa na Mkiti wake John Pambalu.
Leo saa 5 asubuhi kinatarajia kuongea na waandishi wa habari kutoa msimamo wake juu ya kinachoendelea kuhusu wabunge wa Viti Maalumu.
“BAVICHA tumemaliza kikao cha Kamati ya utendaji taifa sasa saa 10:30 usiku. Msimamo wetu tutautangaza kesho saa 11:00 Asubuhi mbele za waandishi wa habari katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Kinondoni”. - JPambalu.
Hata wao hawakupaswa kuwa kwenye viti maalum kwani tayari wamegombea kwenye majimbo, Halima mdee anaizika chadema kwa njaa zake, ni mara mia wamfukuze kabsa chadema itaheshimika kuliko kubaki nae kisha chadema ifariki ghafra kama CUF ya Lipumba
Ndio maana nilesema haiwezekani watu 19 waende bungeni bila tarifa yoyote halafu serekaili iwaapishe bila kuwa na taatifa kutoka kwenye chama.
Washabiki wa Chadema ni nyumbu haswa