Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Wanaanda future ya watoto wako na wajukuu zako pia.Wanajitoa ili kizazi chacko kije kifaidi matunda ya Demkrasia ya kweli hapo baadae.Hivi ukiwa kwenye siasa uruhusiwi kuwa na ajira au kujiajiri? Ni muda gani hawa watu watakuwa wanaandaa future za familia zao?
Hicho wanachokifanya ndicho kilichokuwa kinafanywa na akina Mnyika & co.Hivi ukiwa kwenye siasa uruhusiwi kuwa na ajira au kujiajiri? Ni muda gani hawa watu watakuwa wanaandaa future za familia zao?
Hicho wanachokifanya ndicho kilichokuwa kinafanywa na akina Mnyika & co.
Hii ndio future yao, na suala la familia halina muda wa kuandaa; Laja automatically.
Habari zilizonifikia mdaa si mrefu ni kuwa Baraza la Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAVICHA, linatarajia kuzunguka nchi nzima kufanya mikutano ya ndani ya kikatiba.
kwa utaratibu wataanza na Mkoa gani watotoa taarifa siku za karibuni.
Stay tune..
Kama unafikiri ni utani stay tune Bavicha hawana utani wa UVCCMHuu utoto unazidi kufanya umma uzidi kuwaona wasanii tu. Siasa zinawashinda badala yake mnataka kutumia vijana ili mbaki kwenye headlines. Akili zenu zimeishia hapo? Mkishindwa uchaguzi 2020 mtazira tena matokeo na kuanza kuzuga eti "patachimbika". Badala ya mikakati ya tume huru, katiba mpya iliyopingwa na EL n.k mcheza rede na serikali while yenyewe ina dola!
Mkutano wa kikatiba umesharuhusiwaHawa nao inaelekea hawana washauri wazuri...kuna haja ya kutangaza kuwa watafanya mikutano ya ndani nchi nzima??...Why can't you learn you people?? Siasa za ujivuni zimepitwa na wakati...Kwa maoni yangu kadri mnavyozidi kupambana na dola ndivyo mnavyozidi kuonekana kuwa ni chama cha fujo....Kama mnafanya mikutano ya ndani hamna haja ya kutangaza kwani hiyo ni mikutano ya ndani...Ila ikiwa hiyo mikutano ya ndani inageuka kuwa ya uchochezi, sasa hapo ni tatizo...
Tafuta kazi ya kufanya mkuu siasa zitakutia wendawazimu tu. Vijana tujifunze kulinda maslahi yetu na sio siasa zinazonufaisha "wazito" wenye malengo yao binafsi.Kama unafikiri ni utani stay tune Bavicha hawana utani wa UVCCM
Huu utoto unazidi kufanya umma uzidi kuwaona wasanii tu. Siasa zinawashinda badala yake mnataka kutumia vijana ili mbaki kwenye headlines. Akili zenu zimeishia hapo? Mkishindwa uchaguzi 2020 mtazira tena matokeo na kuanza kuzuga eti "patachimbika". Badala ya mikakati ya tume huru, katiba mpya iliyopingwa na EL n.k mnacheza rede na CCM while yenyewe ina dola!
Mkutano mkuu wa Ccm siyo wa ndani? Mbona mnautangaza?Hawa nao inaelekea hawana washauri wazuri...kuna haja ya kutangaza kuwa watafanya mikutano ya ndani nchi nzima??...Why can't you learn you people?? Siasa za ujivuni zimepitwa na wakati...Kwa maoni yangu kadri mnavyozidi kupambana na dola ndivyo mnavyozidi kuonekana kuwa ni chama cha fujo....Kama mnafanya mikutano ya ndani hamna haja ya kutangaza kwani hiyo ni mikutano ya ndani...Ila ikiwa hiyo mikutano ya ndani inageuka kuwa ya uchochezi, sasa hapo ni tatizo...
Wanakuandalia maslai yako na wengine pia hao BavichaTafuta kazi ya kufanya mkuu siasa zitakutia wendawazimu tu. Vijana tujifunze kulinda maslahi yetu na sio siasa zinazonufaisha "wazito" wenye malengo yao binafsi.
Mkutano wa kikatiba umesharuhusiwa
Sasa huo mkutano wa ccm kwani si unafanyika?Hao vijana ni group la wapumbavu ambao wanatumika na wanaume wenzao.. Zunguka nchi nzima kuwahamasisha vijana wachape kazi na kujenga nchi yao, zunguka nchi nzima kutoa semina za ujasiriamali kwa vijana.. Sasa hao wapuuzi wanazunguka kumsifia lowassa na mbowe