BAVICHA kuzunguka nchi mzima kufanya mikutano ya ndani

Huu utoto unazidi kufanya umma uzidi kuwaona wasanii tu. Siasa zinawashinda badala yake mnataka kutumia vijana ili mbaki kwenye headlines. Akili zenu zimeishia hapo? Mkishindwa uchaguzi 2020 mtazira tena matokeo na kuanza kuzuga eti "patachimbika". Badala ya mikakati ya tume huru, katiba mpya iliyopingwa na EL n.k mnacheza rede na CCM while yenyewe ina dola!
 
Habari zilizonifikia mdaa si mrefu ni kuwa Baraza la Chama cha Demokrasia na Maendeleo BAVICHA, linatarajia kuzunguka nchi nzima kufanya mikutano ya ndani ya kikatiba.

kwa utaratibu wataanza na Mkoa gani watotoa taarifa siku za karibuni.

Stay tune..

Hawa nao inaelekea hawana washauri wazuri...kuna haja ya kutangaza kuwa watafanya mikutano ya ndani nchi nzima??...Why can't you learn you people?? Siasa za ujivuni zimepitwa na wakati...Kwa maoni yangu kadri mnavyozidi kupambana na dola ndivyo mnavyozidi kuonekana kuwa ni chama cha fujo....Kama mnafanya mikutano ya ndani hamna haja ya kutangaza kwani hiyo ni mikutano ya ndani...Ila ikiwa hiyo mikutano ya ndani inageuka kuwa ya uchochezi, sasa hapo ni tatizo...
 
Huu utoto unazidi kufanya umma uzidi kuwaona wasanii tu. Siasa zinawashinda badala yake mnataka kutumia vijana ili mbaki kwenye headlines. Akili zenu zimeishia hapo? Mkishindwa uchaguzi 2020 mtazira tena matokeo na kuanza kuzuga eti "patachimbika". Badala ya mikakati ya tume huru, katiba mpya iliyopingwa na EL n.k mcheza rede na serikali while yenyewe ina dola!
Kama unafikiri ni utani stay tune Bavicha hawana utani wa UVCCM
 
Hawa nao inaelekea hawana washauri wazuri...kuna haja ya kutangaza kuwa watafanya mikutano ya ndani nchi nzima??...Why can't you learn you people?? Siasa za ujivuni zimepitwa na wakati...Kwa maoni yangu kadri mnavyozidi kupambana na dola ndivyo mnavyozidi kuonekana kuwa ni chama cha fujo....Kama mnafanya mikutano ya ndani hamna haja ya kutangaza kwani hiyo ni mikutano ya ndani...Ila ikiwa hiyo mikutano ya ndani inageuka kuwa ya uchochezi, sasa hapo ni tatizo...
Mkutano wa kikatiba umesharuhusiwa
 
Huu utoto unazidi kufanya umma uzidi kuwaona wasanii tu. Siasa zinawashinda badala yake mnataka kutumia vijana ili mbaki kwenye headlines. Akili zenu zimeishia hapo? Mkishindwa uchaguzi 2020 mtazira tena matokeo na kuanza kuzuga eti "patachimbika". Badala ya mikakati ya tume huru, katiba mpya iliyopingwa na EL n.k mnacheza rede na CCM while yenyewe ina dola!

Hao vijana ni group la wapumbavu ambao wanatumika na wanaume wenzao.. Zunguka nchi nzima kuwahamasisha vijana wachape kazi na kujenga nchi yao, zunguka nchi nzima kutoa semina za ujasiriamali kwa vijana.. Sasa hao wapuuzi wanazunguka kumsifia lowassa na mbowe
 
Hawa nao inaelekea hawana washauri wazuri...kuna haja ya kutangaza kuwa watafanya mikutano ya ndani nchi nzima??...Why can't you learn you people?? Siasa za ujivuni zimepitwa na wakati...Kwa maoni yangu kadri mnavyozidi kupambana na dola ndivyo mnavyozidi kuonekana kuwa ni chama cha fujo....Kama mnafanya mikutano ya ndani hamna haja ya kutangaza kwani hiyo ni mikutano ya ndani...Ila ikiwa hiyo mikutano ya ndani inageuka kuwa ya uchochezi, sasa hapo ni tatizo...
Mkutano mkuu wa Ccm siyo wa ndani? Mbona mnautangaza?
 
Tafuta kazi ya kufanya mkuu siasa zitakutia wendawazimu tu. Vijana tujifunze kulinda maslahi yetu na sio siasa zinazonufaisha "wazito" wenye malengo yao binafsi.
Wanakuandalia maslai yako na wengine pia hao Bavicha
 
Mkutano wa kikatiba umesharuhusiwa


Sasa kama mikutano ya kikatiba imeruhusiwa kuna haja gani ya kutangaza kuwa 'sisi' tutafanya mikutano????!!!! Kwa hakika mimi CHADEMA huwa siwaelewi kabisa, kwanini mnalalalamika lalamika sana?? Yaani siku zote your drive ni kujenga picha kuwa mnaonewa why???
 
Hao vijana ni group la wapumbavu ambao wanatumika na wanaume wenzao.. Zunguka nchi nzima kuwahamasisha vijana wachape kazi na kujenga nchi yao, zunguka nchi nzima kutoa semina za ujasiriamali kwa vijana.. Sasa hao wapuuzi wanazunguka kumsifia lowassa na mbowe
Sasa huo mkutano wa ccm kwani si unafanyika?
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom