BAVICHA kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri Gereza la Ukonga pamoja na Mashehe wa Uamsho

Hapo Ndio naposhangaa siasa , haina breki kuna mambo mengine ni sensitive Lakini siasa inaingizwa hasa kwa ushabiki tu kama wa mpira.

Kama kule USA kuna wana siasa walipiga kelele Guantanamo Ifungwe Lakini faida yake ilikuja kuonekana baadae kutokana na interrogations zilizofanyika

Ulinzi na usalama ni kitu cha kwanza kwa taifa lolote

Tuwaachie wana usalama wafanye kazi yao
 
Hapo Ndio naposhangaa siasa , haina breki kuna mambo mengine ni sensitive Lakini siasa inaingizwa hasa kwa ushabiki tu kama wa mpira.

Kama kule USA kuna wana siasa walipiga kelele Guantanamo Ifungwe Lakini faida yake ilikuja kuonekana baadae kutokana na interrogations zilizofanyika

Ulinzi na usalama ni kitu cha kwanza kwa taifa lolote

Tuwaachie wana usalama wafanye kazi yao
Porojo zitakusaidia nini ?
 
Sidhani kama wale mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 “kwa sababu za kisiasa”.

Kuna kitu kipo nyuma ya pazia sisi common wananchi hatukijui na labda hatutakijua kamwe. Zile zama za mapadre kuuawa na makanisa kuchomwa zilishamiri sana enzi zile wakati wa vuguvugu la watu hawa. Labda hii ndio “sababu ya kisiasa”

Huu mfupa wa hawa mashehe uliwashinda marais wote wa bara na visiwani. Ngoja tuone mama Samia atafanyaje.
Haki itendeke, wafungwe au wawekwe huru tu
 
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

View attachment 1783662

Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Kila la kheri. Hii EID imekuja na Neema zake.
 
Sidhani kama wale mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 “kwa sababu za kisiasa”.

Kuna kitu kipo nyuma ya pazia sisi common wananchi hatukijui na labda hatutakijua kamwe. Zile zama za mapadre kuuawa na makanisa kuchomwa zilishamiri sana enzi zile wakati wa vuguvugu la watu hawa. Labda hii ndio “sababu ya kisiasa”

Huu mfupa wa hawa mashehe uliwashinda marais wote wa bara na visiwani. Ngoja tuone mama Samia atafanyaje.
Kwan muungano sio siasa?
 
Sidhani kama wale mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 “kwa sababu za kisiasa”.

Kuna kitu kipo nyuma ya pazia sisi common wananchi hatukijui na labda hatutakijua kamwe. Zile zama za mapadre kuuawa na makanisa kuchomwa zilishamiri sana enzi zile wakati wa vuguvugu la watu hawa. Labda hii ndio “sababu ya kisiasa”

Huu mfupa wa hawa mashehe uliwashinda marais wote wa bara na visiwani. Ngoja tuone mama Samia atafanyaje.
Mmeona tuhuma walizo wakamatia na kuwaweka ndani hazina mashiko sasa mnataka kuwatupia kesi zamauwaji kutoka ugaidi
 
Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .

Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .

View attachment 1783662

Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Magereza kuna siasa?
 
Upuuzi mtupu kiki za kijinga sana

Chadema ni chama cha malofa
Nenda wewe basi.maana inaonekana roho imekuuma sana.Wawe wamekwenda kutafuta kiki au kwa vyovyote utakavyoona bado haiondoi ukweli kua hao mashehe ni ndugu zetu,jamaa zetu na watanzania wenzetu.mambo ya kiki unajua wewe lofa.
 
Back
Top Bottom