Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,419
- 1,545
Wewe unapambana na nini? Mbona nimesoma post zako zote hauna mbele wala nyuma?jaribu kujenga hoja wacha unyang'au!
Umeona eeh,huyu jamaa ni mnafiki ajabu,anadai ni mwanachama wa CDM lakini anapenda kuona cdm inasambaratika!Njaa ni mbaya sana,sijui ataishije mjini kwani zzk ameshaanza kuwakana lakini yeye bado tu anajipendekeza!