TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
mkuu mwita maranya, magafu na mpuuzi mwenzake nape wamepanga kuwavalisha magwanda uvccm wandamane nchi nzima kumpinga dr slaa, kitendo ambacho bavicha mbeya hatutakubaliana nacho, wakithubutu tutawasambaratisha wa kuwapopoa kwa mawe.
ungejua bavicha mbeya ndio inafuata kutoa tamko wallah usingejidanganya...nakuhakikishia mbeya soon wanatoa tamko.arusha ndio kabisaa
tena wanafanya press kwa kualika wajumbe wote wa mkoa.nadhani utajinyonga wewe kijana
tena wanafanya press kwa kualika wajumbe wote wa mkoa.nadhani utajinyonga wewe kijana