Thats what am doing,U should hear ma voice timesly in ur mind evacuating an old Mamalia Skeleton named BABU.
So I have no best option like what i made(FIGHTING AGAINST POLITICAL TRAITORS)
Itapendeza kama siku ukiamua kujibu hivi kwa viongozi wote wa chadema wanapokutwa na maswahiba.Lakini kwa unafiki wako uliozoeleka naona kama unajibaraguza kupunguza makali ya uchafu,unafiki wa dr.slaa ndani ya taifa hili teule la mani.
Tunajua yapo mengi ya kujadili..Lakini hayo mengi hayatuzuii kuwashughulikia wazee wakorofi kama huyu BABU.Lazima ashughulikiwe kam stahiki yake.na ikiwezekana Inatakiwa aadhibiwe mbele ya Josephine na ROse kamili viboko 12 mbele yao,Na 12 anavyofukuzwa chama pale mtaa wa UFIPA.
Tunajua yapo mengi ya kujadili..Lakini hayo mengi hayatuzuii kuwashughulikia wazee wakorofi kama huyu BABU.Lazima ashughulikiwe kam stahiki yake.na ikiwezekana Inatakiwa aadhibiwe mbele ya Josephine na ROse kamili viboko 12 mbele yao,Na 12 anavyofukuzwa chama pale mtaa wa UFIPA.
Nakuuliza mkuu
Unaongelea adhabu kama hakimu au kama mpiga debe?