BAVICHA, jitofautisheni na UVCCM

Rweye

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
16,958
7,512
Makamanda wetu na wapiganaji wetu Bavicha mnaelewa kuwa nyinyi ndo tegemeo la ukombozi wa vijana hapa Tanzania kwa sahvi?mnalielewa hili kwa kiasi gani?

Nimeanza na swali hili kujaribu kuweka msisitizo na kama ikiwezekana kukumbushia kwamba nyinyi ndo nguzo ya kuwaleta vijana pamoja na kuwaelekeza wafanye nini,kwa mda upi na kwann wafanye hvyo lakini bahati mbaya hamuonekani hivyo na badala yake mnaonekana kwenye Tv mkitoa ripoti na matamko kisha kila mmoja anarudi kwake kama wanavyofanya Uvccm ikifika wakati wa NEC yao

Bavicha nendeni vijijini mkakutane na vijana wenzenu,mkajue shida zao,mkawape mikakati na mkawajue na wao wakawajue,acheni harakati za kutoa matamko na kukaa chini,ili CDM ishinde 2015 tunategemea vijana wakapige na kuichagua CDM,sasa nyinyi mnafanya nn ili kupata ushindi huo ama mnategemea nn ikifika 2015 na vijana wasiwe upande wa chama?mnadhani mtaeleweka?

Tunataka kupitia idara yenu ya mipango,sera na mawasiliano mje hapa mtwambie mmepanga kwenda vijiji vingapi katika nusu ya mwaka huu,tunataka hilo.

PEEEPOOOOOOOOZ...!!
 
viongozi wab Bavicha wako pale kwa ajili ya kuja kugombea ubunge na si vinginevyo
 
Mtoa mada nimekusoma vizuri na hata mimi naungana na wewe kuwasisitizia viongozi wa BAVICHA kuwa vijijini bado mwamko kwa kweli ni mdogo sana na zile kura za vijijini tunazihitaji sana!
Mimi nimejaribu kufanya mchakato ktk vijiji vya kata yangu ya NYAHONGO RORYA na 2011 kwenye uchaguzi mdogo niligombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA nikagundua kuwa vijijini hali bado ni tete lakini tukipata ushirikiano kutoka kwa viongozi wa BAVICHA 2015 nchi ni yetu!
 
Mtoa mada nimekusoma vizuri na hata mimi naungana na wewe kuwasisitizia viongozi wa BAVICHA kuwa vijijini bado mwamko kwa kweli ni mdogo sana na zile kura za vijijini tunazihitaji sana!
Mimi nimejaribu kufanya mchakato ktk vijiji vya kata yangu ya NYAHONGO RORYA na 2011 kwenye uchaguzi mdogo niligombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA nikagundua kuwa vijijini hali bado ni tete lakini tukipata ushirikiano kutoka kwa viongozi wa BAVICHA 2015 nchi ni yetu!

You said it right brother...it is time now to do the right things
 
Makamanda wetu na wapiganaji wetu Bavicha mnaelewa kuwa nyinyi ndo tegemeo la ukombozi wa vijana hapa Tanzania kwa sahvi?mnalielewa hili kwa kiasi gani?

Nimeanza na swali hili kujaribu kuweka msisitizo na kama ikiwezekana kukumbushia kwamba nyinyi ndo nguzo ya kuwaleta vijana pamoja na kuwaelekeza wafanye nini,kwa mda upi na kwann wafanye hvyo lakini bahati mbaya hamuonekani hivyo na badala yake mnaonekana kwenye Tv mkitoa ripoti na matamko kisha kila mmoja anarudi kwake kama wanavyofanya Uvccm ikifika wakati wa NEC yao

Bavicha nendeni vijijini mkakutane na vijana wenzenu,mkajue shida zao,mkawape mikakati na mkawajue na wao wakawajue,acheni harakati za kutoa matamko na kukaa chini,ili CDM ishinde 2015 tunategemea vijana wakapige na kuichagua CDM,sasa nyinyi mnafanya nn ili kupata ushindi huo ama mnategemea nn ikifika 2015 na vijana wasiwe upande wa chama?mnadhani mtaeleweka?

Tunataka kupitia idara yenu ya mipango,sera na mawasiliano mje hapa mtwambie mmepanga kwenda vijiji vingapi katika nusu ya mwaka huu,tunataka hilo.

PEEEPOOOOOOOOZ...!!

BAVICHA vijana wa vijijini wanawasubiri, jipangeni muende huko. Matamko toeni na vijijini nendeni.
 
Back
Top Bottom