Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Makamanda wetu na wapiganaji wetu Bavicha mnaelewa kuwa nyinyi ndo tegemeo la ukombozi wa vijana hapa Tanzania kwa sahvi?mnalielewa hili kwa kiasi gani?
Nimeanza na swali hili kujaribu kuweka msisitizo na kama ikiwezekana kukumbushia kwamba nyinyi ndo nguzo ya kuwaleta vijana pamoja na kuwaelekeza wafanye nini,kwa mda upi na kwann wafanye hvyo lakini bahati mbaya hamuonekani hivyo na badala yake mnaonekana kwenye Tv mkitoa ripoti na matamko kisha kila mmoja anarudi kwake kama wanavyofanya Uvccm ikifika wakati wa NEC yao
Bavicha nendeni vijijini mkakutane na vijana wenzenu,mkajue shida zao,mkawape mikakati na mkawajue na wao wakawajue,acheni harakati za kutoa matamko na kukaa chini,ili CDM ishinde 2015 tunategemea vijana wakapige na kuichagua CDM,sasa nyinyi mnafanya nn ili kupata ushindi huo ama mnategemea nn ikifika 2015 na vijana wasiwe upande wa chama?mnadhani mtaeleweka?
Tunataka kupitia idara yenu ya mipango,sera na mawasiliano mje hapa mtwambie mmepanga kwenda vijiji vingapi katika nusu ya mwaka huu,tunataka hilo.
PEEEPOOOOOOOOZ...!!
Nimeanza na swali hili kujaribu kuweka msisitizo na kama ikiwezekana kukumbushia kwamba nyinyi ndo nguzo ya kuwaleta vijana pamoja na kuwaelekeza wafanye nini,kwa mda upi na kwann wafanye hvyo lakini bahati mbaya hamuonekani hivyo na badala yake mnaonekana kwenye Tv mkitoa ripoti na matamko kisha kila mmoja anarudi kwake kama wanavyofanya Uvccm ikifika wakati wa NEC yao
Bavicha nendeni vijijini mkakutane na vijana wenzenu,mkajue shida zao,mkawape mikakati na mkawajue na wao wakawajue,acheni harakati za kutoa matamko na kukaa chini,ili CDM ishinde 2015 tunategemea vijana wakapige na kuichagua CDM,sasa nyinyi mnafanya nn ili kupata ushindi huo ama mnategemea nn ikifika 2015 na vijana wasiwe upande wa chama?mnadhani mtaeleweka?
Tunataka kupitia idara yenu ya mipango,sera na mawasiliano mje hapa mtwambie mmepanga kwenda vijiji vingapi katika nusu ya mwaka huu,tunataka hilo.
PEEEPOOOOOOOOZ...!!