Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,736
Kuna siku alikua akilalamika, hali ngumu akiomba watu mtaji anapewa namba ya room....unasemaaaa??? 😅😅😅😅
Kuna siku alikua akilalamika, hali ngumu akiomba watu mtaji anapewa namba ya room....unasemaaaa??? 😅😅😅😅
Hahahah noma kweli akae kwa kutulia wanaume wote tunatembelea rim.hao wachache wenye nazo wabahiliKuna siku alikua akilalamika, hali ngumu akiomba watu mtaji anapewa namba ya room....
hahahah hatari sanaKuna siku alikua akilalamika, hali ngumu akiomba watu mtaji anapewa namba ya room....
Mtaji wa bure akaombe kwa wazazi wake....hahahah hatari sana
sema nini batuli anakamvuto flani hivi
hata mimi nisikie unawadanga wengine na wanakukula alafu kwangu unataka nikupe mtaji bure bure
aaaaah kwa mtu kama batuli hata mimi nampa namba ya rum tu 😅😅😅
kweli aisee akitaka vya bure ataendelea kupewa namba za rumMtaji wa bure akaombe kwa wazazi wake....
Angezikusanya kidogo kidogo mtaji ungefikaWanaume wanachomfanyia batuli sio poa, akiomba mtaji eti wanampa namba ya chumba....
Tangu lini kunguru akafugikaWanawake bhana ndio defence mechasim zao hizo utaskia ukinisema mimi ni sawa unamsema mama ako labda sababu wote wana vagina sjui anyway
Fakeni kumanyokoo alisema mpo sawa nani mtu yeyote akikosea au akinikosea haijalishi jinsia lazima nikuchane laivu mamaae
Kufugwa ni utumwaTangu lini kunguru akafugika
mtafute steve anazoNaomba namba zake nimpongeze
Wanawake bhana ndio defence mechanisim zao hizo utaskia ukinisema mimi ni sawa unamsema mama ako labda sababu wote wana vagina sjui anyway
Fakeni kumanyokoo alisema mpo sawa nani mtu yeyote akikosea au akinikosea haijalishi jinsia lazima nikuchane laivu mamaae
Keep walking away. Ipo siku utapigwa dole nyuma, then utawalk away ukirudi unapigwa dole unawalk away.Mpuuzi usimpe makofi mkuu,it's like you are trying to prove you are a man wakati tayari tunajua you are!Mpuuzi dawa yake simple just walk away huku akiendelea kuongea na ikibidi urudi the next day then utaona kama atarudia!
Makofi will never be a solution zaidi kuna siku utaongeza na ngumi mwishoe uue bila kukusudia uishie jela
Taifa sio sawa na mtu,yani umpige mtu kisa kakuprovoke?watu wanaumwa magonjwa hatarishi siku hizi pasipo kusema,sasa imagine unampiga mtu ngumi wakati mapigo yake ya moyo yako below or above normal alafu azime ndo utajua hujuiKeep walking away. Ipo siku utapigwa dole nyuma, then utawalk away ukirudi unapigwa dole unawalk away.
Suluhisho la kutopigana ni kuepuka provocation pekee.
Usinichokoze then ukaamini nita walk away. Tafuta watu wa aina hiyo. I am not one of them.
Hata mataifa makubwa pamoja na kuwa na magwiji wa diplomasia, ikitokea taifa lineleta upuuzi wa kupindukia Jeshi lipo na vifaa vyote kuwaonesha kazi.
Ukijijua afya mbovu acha kuchokoza watu. Halafu jela ni option na siyo kaburi wala jehanum.Taifa sio sawa na mtu,yani umpige mtu kisa kakuprovoke?watu wanaumwa magonjwa hatarishi siku hizi pasipo kusema,sasa imagine unampiga mtu ngumi wakati mapigo yake ya moyo yako below or above normal alafu azime ndo utajua hujui
"Kwenu Wanawakee, Najua Kuna Wakati Huwa Mnatawaliwa Na tamaa na vishawishi Lakini Kabla Ya Kumshikisha mwanaume ujauzito ambao sio wake, kumfanya danga, kumtukana Au Kumkashifu Mwanaume Rudi Nyuma Mtazame baba Yako, kaka Zako Au Hata vijana Zako Kama Upo Mbali Nao Tazama Picha Zao Kisha Utajua Unatakiwa Kufanya Nini Kwa baba,Mwanaume Au vijana Wa Wenzio"Kwenu Wanaume, Najua Kuna Wakati Huwa Mnatawaliwa Na Hasira Lakini Kabla Ya Kumtusi Au Kumkashifu Mwanamke Rudi Nyuma Mtazame Mama Yako, Dada Zako Au Hata Mabint Zako Kama Upo Mbali Nao Tazama Picha Zao Kisha Utajua Unatakiwa Kufanya Nini Kwa Mama,Mwanamke Au Bint Wa Wenzio....[emoji1607]
@batuli_actress
Why nikutishe?as hunijui sikujui so why huhisi nakutisha etiUkijijua afya mbovu acha kuchokoza watu. Halafu jela ni option na siyo kaburi wala jehanum.
Watu wana uwezo mpaka wa kujinyonga wenyewe ndio waje kuogopa jela
Huzijui jela kwahiyo usitishie watu
Mimi ukileta ujinga, utakula mabanzi kama kawaida.Why nikutishe?as hunijui sikujui so why huhisi nakutisha eti
Afterall mi niliongea kwa niaba ya wengi personally wala sio mgomvi
Nakwambia wewe uache kupiga watu kuna wengine wanaumwa na wala hawajui kama wanaumwa na ukimpiga na likatokea na kutokea hukwepi hukumu
Alafu kama mtu mjeuri unadhan ukimpiga ndo ataacha?ingekua hivyo kungekua hakuna watoto wanaoitwa manunda
Sawa we mlishe tu mabanzi mtoto wa watuMimi ukileta ujinga, utakula mabanzi kama kawaida.
Fanya unachoweza