Kwenu wanaume, najua kuna wakati huwa mnatawaliwa na hasira lakini kabla ya kumtusi au kumkashifu mwanamke rudi nyuma mtazame mama yako, dada zako au hata mabinti zako kama upo mbali nao tazama picha zao kisha utajua unatakiwa kufanya nini kwa mama, mwanamke.
@batuli_actress
@batuli_actress