Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,245
- 33,439
Nataka kumpaulia shangazi yangu nyumba yake bati la geji 32 futi nane linauzwa 12 kwakuwa nyumba yake ni kubwa inahitaji bati 140 na kwaharakaharaka hiyo hela ninayo ila zaidi ya hapo sitamudu kwasasa .
Naombeni ushauri hi geji 32 ni durable? Na je kutokana na wepesi wake ukilipaka rangi linaimarika .?
Naombeni ushauri hi geji 32 ni durable? Na je kutokana na wepesi wake ukilipaka rangi linaimarika .?