Batch ya 3 ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Diploma

Batch ya 3 ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Diploma

Chuo cha Maji

Member
Joined
May 4, 2017
Posts
54
Reaction score
34
Batch ya Tatu ya Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Courses mbalimbali (Provision Admission) katika ngazi ya Diploma kwa mwaka wa Masomo 2017/2018 yametoka.
Tafadhali tembelea website ya Chuo uweze kuona jina na course uliyochaguliwa au download PDF ilioambatanishwa hapa.

Vilevile,tunaendelea kupokea maombi ya kujiunga na Chuo cha Maji kwa ngazi ya Diploma na Degree hadi tarehe 20 September 2017. Unaweza kudownload form na kujaza na kuambatanisha vitu vinavyohitajika au uka apply online kupitia website ya Chuo. www.waterinstitute.ac.tz

Karibuni sana.
 

Attachments

Batch ya Tatu ya Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Courses mbalimbali katika ngazi ya Diploma kwa mwaka wa Masomo 2017/2018 yametoka.
Tafadhali tembelea website ya Chuo uweze kuona jina na course uliyochaguliwa au download PDF ilioambatanishwa hapa.

Vilevile,tunaendelea kupokea maombi ya kujiunga na Chuo cha Maji kwa ngazi ya Diploma na Degree hadi tarehe 20 September 2017. Unaweza kudownload form na kujaza na kuambatanisha vitu vinavyohitajika au uka apply online kupitia website ya Chuo. www.waterinstitute.ac.tz

Karibuni sana.
Swali: si NACTE ilisema diploma matokea ya selection ni 15th september 2017.
 
Swali: si NACTE ilisema diploma matokea ya selection ni 15th september 2017.

Hii ni Provision Admission. NACTE wataenda kuverify kwa kuhakiki vigezo vya Chuo/Course na kuangalia ufahuru wa Mwanafunzi.
Asante
 
Batch ya Tatu ya Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Courses mbalimbali (Provision Admission) katika ngazi ya Diploma kwa mwaka wa Masomo 2017/2018 yametoka.
Tafadhali tembelea website ya Chuo uweze kuona jina na course uliyochaguliwa au download PDF ilioambatanishwa hapa.

Vilevile,tunaendelea kupokea maombi ya kujiunga na Chuo cha Maji kwa ngazi ya Diploma na Degree hadi tarehe 20 September 2017. Unaweza kudownload form na kujaza na kuambatanisha vitu vinavyohitajika au uka apply online kupitia website ya Chuo. www.waterinstitute.ac.tz

Karibuni sana.
Msaada inawezekana kubadili kozi pindi unapo fika chuo??
Mfano post umepata hydrology and metrolody ukabadili ukachukukua kozi nyingn.??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Batch ya Tatu ya Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Courses mbalimbali (Provision Admission) katika ngazi ya Diploma kwa mwaka wa Masomo 2017/2018 yametoka.
Tafadhali tembelea website ya Chuo uweze kuona jina na course uliyochaguliwa au download PDF ilioambatanishwa hapa.

Vilevile,tunaendelea kupokea maombi ya kujiunga na Chuo cha Maji kwa ngazi ya Diploma na Degree hadi tarehe 20 September 2017. Unaweza kudownload form na kujaza na kuambatanisha vitu vinavyohitajika au uka apply online kupitia website ya Chuo. www.waterinstitute.ac.tz

Karibuni sana.
Mkuu nina mdogo wangu alisoma CBG na alipata E E E,kwa hapo chuoni kwenu anaweza kusoma course gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nina mdogo wangu alisoma CBG na alipata E E E,kwa hapo chuoni kwenu anaweza kusoma course gani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa maksi ulizonitajia, hawezi kusoma Bachelor Degree ila ataweza kusoma Diploma kwa kutumia matokeo yake ya kidato cha nne.

Kwa kidato cha nne awe na D tatu katika masomo ya Science (Physics, Chemistry, Biology, Geography, na Mathematics).

NB: Asiwe na E au F ya Mathematics kwa course zote.
 
Shukrani mkuu

To accomplish much you must first lose everything..
 
Kwa maksi ulizonitajia, hawezi kusoma Bachelor Degree ila ataweza kusoma Diploma kwa kutumia matokeo yake ya kidato cha nne.

Kwa kidato cha nne awe na D tatu katika masomo ya Science (Physics, Chemistry, Biology, Geography, na Mathematics).

NB: Asiwe na E au F ya Mathematics kwa course zote.
Nimemaanisha anaweza kusoma Diploma bila kuwa na Physics?
O-level yake hakusoma Physics pia!japo ufaulu wake ulikuwa mzuri,alipata Chemistry-B
Biology-C
Mathematics-D
Geography-C
English-B
History-C
Civics-C
Kiswahili-C
Je,kwa matokeo hayo in Diploma gani nzuri anaweza kusoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Batch ya Tatu ya Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Courses mbalimbali (Provision Admission) katika ngazi ya Diploma kwa mwaka wa Masomo 2017/2018 yametoka.
Tafadhali tembelea website ya Chuo uweze kuona jina na course uliyochaguliwa au download PDF ilioambatanishwa hapa.

Vilevile,tunaendelea kupokea maombi ya kujiunga na Chuo cha Maji kwa ngazi ya Diploma na Degree hadi tarehe 20 September 2017. Unaweza kudownload form na kujaza na kuambatanisha vitu vinavyohitajika au uka apply online kupitia website ya Chuo. www.waterinstitute.ac.tz

Karibuni sana.
Nasubiri mrejesho kutoka kwako Mkuu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maksi ulizonitajia, hawezi kusoma Bachelor Degree ila ataweza kusoma Diploma kwa kutumia matokeo yake ya kidato cha nne.

Kwa kidato cha nne awe na D tatu katika masomo ya Science (Physics, Chemistry, Biology, Geography, na Mathematics).

NB: Asiwe na E au F ya Mathematics kwa course zote.

What if ana Geography na Mathematics pekee?

Kuna kijana natamani aje hapo,hajasoma Physics na Chemistry ,High school kasoma EGM

Yuko eligible?
 
Course anayo
Nimemaanisha anaweza kusoma Diploma bila kuwa na Physics?
O-level yake hakusoma Physics pia!japo ufaulu wake ulikuwa mzuri,alipata Chemistry-B
Biology-C
Mathematics-D
Geography-C
English-B
History-C
Civics-C
Kiswahili-C
Je,kwa matokeo hayo in Diploma gani nzuri anaweza kusoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
Crse anayoweza soma hapo ni water quality laboratory technology, na meteolorogy kama skosei zingine zote physics lazima
 
What if ana Geography na Mathematics pekee?

Kuna kijana natamani aje hapo,hajasoma Physics na Chemistry ,High school kasoma EGM

Yuko eligible?
Mkuu haiwezekani physics ni msingi mkuu wa crse zao....labda angekuwa na chemistry na biology angepata crse ya water quality laboratory
 
Back
Top Bottom