Kiteitei JF-Expert Member Joined Jan 14, 2009 Posts 1,600 Reaction score 1,574 Jul 9, 2013 #101 kitomari2 said: huwa wanapenda sana kupandana kwenye maji ndugu Click to expand... Hawa nao wana mbwembe!! Wanafanya hivyo kupooza vitagio nn!.....just jocking....mkuu kitomari nakutafuta next week..hope unatumia same number au nirushie kwa pm tafadhali
kitomari2 said: huwa wanapenda sana kupandana kwenye maji ndugu Click to expand... Hawa nao wana mbwembe!! Wanafanya hivyo kupooza vitagio nn!.....just jocking....mkuu kitomari nakutafuta next week..hope unatumia same number au nirushie kwa pm tafadhali
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Jul 12, 2013 Thread starter #102 kitomari2 said: Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401 Click to expand... jitaidi utufungulie ofisi huku dar kaka tutafrah saana
kitomari2 said: Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401 Click to expand... jitaidi utufungulie ofisi huku dar kaka tutafrah saana
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Jul 14, 2013 Thread starter #103 tawary said: jitaidi utufungulie ofisi huku dar kaka tutafrah saana Click to expand... haya kaka ila arusha kuzuri sana
tawary said: jitaidi utufungulie ofisi huku dar kaka tutafrah saana Click to expand... haya kaka ila arusha kuzuri sana
Qulfayaqul JF-Expert Member Joined Apr 10, 2008 Posts 480 Reaction score 84 Jul 15, 2013 #104 hivi wanaliwa hawa ndege' sijawahi kuwala
M MATAKATAKA Senior Member Joined Jun 19, 2013 Posts 126 Reaction score 52 Aug 4, 2013 #105 Qulfayaqul said: hivi wanaliwa hawa ndege' sijawahi kuwala Click to expand... hapana, wanatemwa.
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 4, 2013 Thread starter #106 kitomari2 said: Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401 Click to expand... niambie kaka vipi una mzinga madume wakubwa
kitomari2 said: Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401 Click to expand... niambie kaka vipi una mzinga madume wakubwa
wantuzu Senior Member Joined Nov 24, 2011 Posts 143 Reaction score 28 Aug 4, 2013 #107 mkuu tarajia simu yangu leo hii...
N ndaha JF-Expert Member Joined Jul 6, 2013 Posts 347 Reaction score 49 Aug 4, 2013 #108 Mkuu bata bukini bei gani kwa watoto?
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 7, 2013 Thread starter #109 Kitomari hivi bukini hashambuliwi na maradhi kabsa
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 7, 2013 Thread starter #110 POUTRY FARM said: Kitomari hivi bukini hashambuliwi na maradhi kabsa Click to expand... bukini hana magonjwa yeyote na ni msaafi sana huyu bata
POUTRY FARM said: Kitomari hivi bukini hashambuliwi na maradhi kabsa Click to expand... bukini hana magonjwa yeyote na ni msaafi sana huyu bata
Zipuwawa JF-Expert Member Joined Nov 28, 2010 Posts 3,050 Reaction score 656 Aug 7, 2013 #111 kitomari2 said: miezi 2 elifu 25 miezi 3 elifu 30 Click to expand... unapatikana wapi?
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 7, 2013 Thread starter #112 Zipuwawa said: unapatikana wapi? Click to expand... niko arusha mkuu
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 8, 2013 Thread starter #113 kitomari2 said: bukini hana magonjwa yeyote na ni msaafi sana huyu bata Click to expand... kwa hapo nakubaliana naww kitomari kuusu bukini pia na ulinzi wakutosha
kitomari2 said: bukini hana magonjwa yeyote na ni msaafi sana huyu bata Click to expand... kwa hapo nakubaliana naww kitomari kuusu bukini pia na ulinzi wakutosha
M Marnah JF-Expert Member Joined May 3, 2013 Posts 1,124 Reaction score 303 Aug 8, 2013 #114 Ntakutafuta mkuu,,....
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 9, 2013 Thread starter #115 kitomari2 said: Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401 Click to expand... habari kitomari bata wako wamefika salama namshkuru mungu wanaendelea salama
kitomari2 said: Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401 Click to expand... habari kitomari bata wako wamefika salama namshkuru mungu wanaendelea salama
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 10, 2013 Thread starter #116 Marnah said: Ntakutafuta mkuu,,.... Click to expand... karibu mkuu
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 11, 2013 Thread starter #117 kitomari2 said: Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401 Click to expand... niwape nini bata wangu watage mr
kitomari2 said: Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401 Click to expand... niwape nini bata wangu watage mr
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 20, 2013 Thread starter #118 POUTRY FARM said: niwape nini bata wangu watage mr Click to expand... mimi nimetumiwa weak iliopita na teari sasa wameshataga mayai mawili
POUTRY FARM said: niwape nini bata wangu watage mr Click to expand... mimi nimetumiwa weak iliopita na teari sasa wameshataga mayai mawili
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 21, 2013 Thread starter #119 nade said: mimi nimetumiwa weak iliopita na teari sasa wameshataga mayai mawili Click to expand... ongera zako bwana
nade said: mimi nimetumiwa weak iliopita na teari sasa wameshataga mayai mawili Click to expand... ongera zako bwana
culboy JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 526 Reaction score 48 Aug 23, 2013 Thread starter #120 POUTRY FARM said: ongera zako bwana Click to expand... nilihamasishwa na huyu bwana lakini mungu ambariki saana
POUTRY FARM said: ongera zako bwana Click to expand... nilihamasishwa na huyu bwana lakini mungu ambariki saana