mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,043
- 263
Habari wana JF
Ninaishi Jet Dar, nahitaji Bata Bukini, kanga weupe na kuku Kuchi au mbegu yeyote ya kuku wa kienyeji ya umbo kubwa.
Mwenye nao aniambie anapatikana wapi Dar na bei gani nije nione na kununua.
MIchezo ya kina Kitomondo wa aArusha ninaijua vema.
Nakaribisha wote karibuni
Wasallaam
Ninaishi Jet Dar, nahitaji Bata Bukini, kanga weupe na kuku Kuchi au mbegu yeyote ya kuku wa kienyeji ya umbo kubwa.
Mwenye nao aniambie anapatikana wapi Dar na bei gani nije nione na kununua.
MIchezo ya kina Kitomondo wa aArusha ninaijua vema.
Nakaribisha wote karibuni
Wasallaam