Kwa kuwa ni wa kwao, basi mtaona kamchezo katakavyochezwa na hatafanywa chochote, hivi kwa picha hiyo hilo mbona ni tukio la kupangwa kabisa, na hao wenzie hawaijui hiyo sheria hata wasimkataze? Asili za watu hizi, mbona mwenye macho kweli haambiwi ona!
Mshamba kweli kweli ...arachuga machalii wanazo kibao sana na wazee wa kazi ukiwaonyesha kama hivi zikipita siku mbili kabla hawajaja kuichukua unabahati...
Narudia tena..unadhalilisha hiyo dini yako kwa hizi comment zako za kipuuzi! Ulishawahi kuona wapi mchungaji mwenye domo chafu kama lako? Jiheshim na utaheshimika
Low level of thinking capacity,hapo alikuwa ana fanya kitu kama cha kuwatisha watu kwamba hata yeye ana bastola na anataka amake headlines ya magazeti ya bongo...kudadekiiiiiii zakeeeeee
Narudia tena..unadhalilisha hiyo dini yako kwa hizi comment zako za kipuuzi! Ulishawahi kuona wapi mchungaji mwenye domo chafu kama lako? Jiheshim na utaheshimika
kUWA NA BASTOLA HAIMAANISHI UKO FITI WENGI WANAZO LAKINI WANAJIHESHIM NA WANAZIIFADHI VIZURI HII SIO NAMNA YA KUIFADHI SILAHA KWANZA NI HATARI SANA KWA RAGE KUWEKA SILAHA STAILI ILE, NI HATARI KWAKE......WALA SI SALAMA KWAKE...