sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,281
- 7,953
Na mbio zake zile zile?Yapo kama kawa
Na mbio zake zile zile?Yapo kama kawa
Hakun tena mbio. Tatizo tochi mkuuNa mbio zake zile zile?
Nailo Nala muhimu laki hotel za korogwe zote vimeoDar Lux wanasimama hotel ipi wakati wa Lunch?
MARANGU COACH mpigie Rose 0717 610094
Mkuu tayari umemharibia mpangilio wa usinguzi Rose hapa
yaani jamaa anarusha namba ya Rose humu.Kilimanjaro nilikua naipendea mwendo wake road mdogo mdogo tu+customer care yake pia iko poa.Kweli kabisa mkuu magari mzuri kwa root za kaskazin ni haya uliyotaja ongeza na Dar Lucy..... Kilimanjaro, Dar ex yamebaki Majina ndani seat zimechoka TV azifanyi kazi no kiyoyozi....
Zilipendwa siku hizi. Halafu mabasi yao mengi hayana hata charging systemKilimanjaro nilikua naipendea mwendo wake road mdogo mdogo tu+customer care yake pia iko poa.
Lkn kwny viti+viyoyozi utajuta aisee.
Aisee ni kweli mkuu,sijui mwenye bus ana shida gani siku hizi maana kama wateja naona anakula vichwa fresh tu.Zilipendwa siku hizi. Halafu mabasi yao mengi hayana hata charging system
Anatembelea jina lake alilotengeneza miaka hyoAisee ni kweli mkuu,sijui mwenye bus ana shida gani siku hizi maana kama wateja naona anakula vichwa fresh tu.
![]()
![]()
![]()
yaani jamaa anarusha namba ya Rose humu.
Ngoja nimuambie Rose anifuate Levolosi.
Bangi mbaya sana!Nawaza kuanzisha Biashara ya Massage kwenye hotel wanazokula abiria na wahudumu wa mabasi
Kilimanjaro nilikua naipendea mwendo wake road mdogo mdogo tu+customer care yake pia iko poa.
Lkn kwny viti+viyoyozi utajuta aisee.
Hahah yote yanawezekana tu mkuu.Usishangae mwendo ulikuwa mdogomdogo kuogopa vyuma visichomoke
Hahah yote yanawezekana tu mkuu.
Hahaha aisee hio style ya safety belt sijawahi kuiona kabisaa hahah,hio ni death belt no longer safety belt tena.Mabasi ya pande zile yana ujanjaujanja mwingi, nilipanda Mtei moja inatoka Arusha saa 12 asb kwenda Singida, safety belt hiyohiyo imefunga kiti na hiyohiyo unajifunga wewe, usipojifunga safety belt kiti kinahama kilipo
Hahaha aisee hio style ya safety belt sijawahi kuiona kabisaa hahah,hio ni death belt no longer safety belt tena.
Tochi na king'amuzi... Speed ni 80KPH kwa 50KPH... Mnatoka saa 12 asubuhi kufika Saa 11 kama barabarani hakutakua na dharula yeyote.Hakun tena mbio. Tatizo tochi mkuu
Halafu huo mtaa ulivyojaa Guest House....duuh![]()
![]()
![]()
yaani jamaa anarusha namba ya Rose humu.
Ngoja nimuambie Rose anifuate Levolosi.