logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,553
Watu wataachwa na mabasi.Nawaza kuanzisha Biashara ya Massage kwenye hotel wanazokula abiria na wahudumu wa mabasi

Watu wataachwa na mabasi.Nawaza kuanzisha Biashara ya Massage kwenye hotel wanazokula abiria na wahudumu wa mabasi

Kilimanjaro hotel...au Rock Hill but mostly KilimanjaroAnasimama hotel gan?
33,000/36,000.Sh ngap nauli
Dk zenyewe za kula ni chacheNawaza kuanzisha Biashara ya Massage kwenye hotel wanazokula abiria na wahudumu wa mabasi
Nlilipa 36000 km wamepandisha sijui ila hyo ndo Bei nlilipaSh ngap nauli
Walikuona boya ndo maanaNlilipa 36000 km wamepandisha sijui ila hyo ndo Bei nlilipa
Ha ha ha mbona una mkejeliWalikuona boya ndo maana
Hahhahhahha...mkuu Nina mapungufu Sana ila sio boya na kumbuka me me BM nimepanda Sana esp Moro to Arusha na ofa zao nimepewa Sana...na kumbuka mwenye BM ni home boy so jua wahusika nawajua vzr sanaWalikuona boya ndo maana
Hapana, lile basi ni kali, Luxury class.Walikuona boya ndo maana
Usimaindi Bro, hapa tunachangamsha baraza tukisubiri vitambulisho tupige pesa bila rabsha za mgambo.Hahhahhahha...mkuu Nina mapungufu Sana ila sio boya na kumbuka me me BM nimepanda Sana esp Moro to Arusha na ofa zao nimepewa Sana...na kumbuka mwenye BM ni home boy so jua wahusika nawajua vzr sana
Thanks bro kwa kunisaidia...wakipanda ndo watajua hata ningeambiwa 50000 ningelipa sio kwa huduma zileHapana, lile basi ni kali, Luxury class.
Nimekusoma Chaliii...karibu Moshi tule mbegeUsimaindi Bro, hapa tunachangamsha baraza tukisubiri vitambulisho
Ok sawaa naipataIle ya karibu na kilimanjaro pana garden garden flani hivi.
Yapo kama kawaIvi siku hizi Yale mabasi ya buffalo hayapo eeh maana yalikua yanatimua mbio balaa
Kweli kabisa mkuu magari mzuri kwa root za kaskazin ni haya uliyotaja ongeza na Dar Lucy..... Kilimanjaro, Dar ex yamebaki Majina ndani seat zimechoka TV azifanyi kazi no kiyoyozi....Pia kuna Extra Luxury Coach na Marangu coach... Ila ungeenda shekilango kabisa ingekua poa huko ubungo utazinguliwa tu.