TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,265
- 25,539
Naendelea kuamini nchi imeharibika.
Tupo hapa SGR Head Office Station. Tukiwa ndani ya lounge ina kiyoyozi lakini tumelowa jasho.
Ilikuwa tuondoke saa 12 jioni kuelekea Dodoma mara bin vuu tunambiwa treni ya Dodoma hamna.
Mara mvua inanyesha Dodoma hivyo haiwezi kwenda, mara abilia wachache, mara jazeni fomu ili mrudishiwe pesa zenu mwakani, yaani mambo ni mengi hadi namkumbuka Magufuri 😢!.
Nakumbuka sijui waziri gani alisema, hata ije mvua haina gani hakutakuwa na changamoto ila tumbili alipotest kidogo mara wooooz, no safari.
Gafla treni ya kuishia Morogoro inaondoka alafu tunaambiwa pandemi humo mkaunganishe safari mbele huko 😭!.
Daaa, mimi nachoka nageuka kumuangalia mtu wa kumpiga kofi hamna natokwa jasho.
Nimewaambia ongeeni na kampuni yoyote ya mabasi walete hapa buses hapa tuondoke matokeo yake kila mtu anashangaa na wengine wanaanza kubadirika rangi.
Nchi ishakuwa ngumu hii.
Basi sawa, akabiziwe muwekezaji.
Magufuri hamka uone wanachofanya.
Tupo hapa SGR Head Office Station. Tukiwa ndani ya lounge ina kiyoyozi lakini tumelowa jasho.
Ilikuwa tuondoke saa 12 jioni kuelekea Dodoma mara bin vuu tunambiwa treni ya Dodoma hamna.
Mara mvua inanyesha Dodoma hivyo haiwezi kwenda, mara abilia wachache, mara jazeni fomu ili mrudishiwe pesa zenu mwakani, yaani mambo ni mengi hadi namkumbuka Magufuri 😢!.
Nakumbuka sijui waziri gani alisema, hata ije mvua haina gani hakutakuwa na changamoto ila tumbili alipotest kidogo mara wooooz, no safari.
Gafla treni ya kuishia Morogoro inaondoka alafu tunaambiwa pandemi humo mkaunganishe safari mbele huko 😭!.
Daaa, mimi nachoka nageuka kumuangalia mtu wa kumpiga kofi hamna natokwa jasho.
Nimewaambia ongeeni na kampuni yoyote ya mabasi walete hapa buses hapa tuondoke matokeo yake kila mtu anashangaa na wengine wanaanza kubadirika rangi.
Nchi ishakuwa ngumu hii.
Basi sawa, akabiziwe muwekezaji.
Magufuri hamka uone wanachofanya.