Basi Sawa Tumeona Tayari Sasa Ibinafsishwe tu

Basi Sawa Tumeona Tayari Sasa Ibinafsishwe tu

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,265
Reaction score
25,539
Naendelea kuamini nchi imeharibika.

Tupo hapa SGR Head Office Station. Tukiwa ndani ya lounge ina kiyoyozi lakini tumelowa jasho.

Ilikuwa tuondoke saa 12 jioni kuelekea Dodoma mara bin vuu tunambiwa treni ya Dodoma hamna.

Mara mvua inanyesha Dodoma hivyo haiwezi kwenda, mara abilia wachache, mara jazeni fomu ili mrudishiwe pesa zenu mwakani, yaani mambo ni mengi hadi namkumbuka Magufuri 😢!.

Nakumbuka sijui waziri gani alisema, hata ije mvua haina gani hakutakuwa na changamoto ila tumbili alipotest kidogo mara wooooz, no safari.

Gafla treni ya kuishia Morogoro inaondoka alafu tunaambiwa pandemi humo mkaunganishe safari mbele huko 😭!.

Daaa, mimi nachoka nageuka kumuangalia mtu wa kumpiga kofi hamna natokwa jasho.

Nimewaambia ongeeni na kampuni yoyote ya mabasi walete hapa buses hapa tuondoke matokeo yake kila mtu anashangaa na wengine wanaanza kubadirika rangi.

Nchi ishakuwa ngumu hii.
Basi sawa, akabiziwe muwekezaji.
Magufuri hamka uone wanachofanya.
 
Pole, ukisema au kutoa maoni unaingia kwa wahaini. I wish nchi yangu ingeendelea kwa speed iliyokuwa nayo miaka 4 hapo nyuma.
 
Naendelea kuamini nchi imeharibika.

Tupo hapa SGR Head Office Station. Tukiwa ndani ya lounge ina kiyoyozi lakini tumelowa jasho.

Ilikuwa tuondoke saa 12 jioni kuelekea Dodoma mara bin vuu tunambiwa treni ya Dodoma hamna.

Mara mvua inanyesha Dodoma hivyo haiwezi kwenda, mara abilia wachache, mara jazeni fomu ili mrudishiwe pesa zenu mwakani, yaani mambo ni mengi hadi namkumbuka Magufuri 😢!.

Nakumbuka sijui waziri gani alisema, hata ije mvua haina gani hakutakuwa na changamoto ila tumbili alipotest kidogo mara wooooz, no safari.

Gafla treni ya kuishia Morogoro inaondoka alafu tunaambiwa pandemi humo mkaunganishe safari mbele huko 😭!.

Daaa, mimi nachoka nageuka kumuangalia mtu wa kumpiga kofi hamna natokwa jasho.

Nimewaambia ongeeni na kampuni yoyote ya mabasi walete hapa buses hapa tuondoke matokeo yake kila mtu anashangaa na wengine wanaanza kubadirika rangi.

Nchi ishakuwa ngumu hii.
Basi sawa, akabiziwe muwekezaji.
Magufuri hamka uone wanachofanya.
Poleni sana mliokuwa mnategemea huduma na utendaji mzuri kwenye hizi treni. Hivi kitu rahisi kama bandari kimewashinda (sijasema kimetushinda) itakuwa hiyo? Na bado... utasikia amepewa mwekezaji. Shirika la ndege hivyo hivyo. Mnategemea kina Mchengerwa (ambao ndiyo think tank wa kibibi manyonyo) walete mabadiliko kwenye nchi? Hata kumkumbuka Magufuli bado ni kosa kwa sababu tunatakiwa tuwe na system zinazofanya kazi na siyo mtu mmoja. Bila wananchi kupewa power ya kuchagua na kuwajibisha viongozi wa nchi ni bure.
 
Naendelea kuamini nchi imeharibika.

Tupo hapa SGR Head Office Station. Tukiwa ndani ya lounge ina kiyoyozi lakini tumelowa jasho.

Ilikuwa tuondoke saa 12 jioni kuelekea Dodoma mara bin vuu tunambiwa treni ya Dodoma hamna.

Mara mvua inanyesha Dodoma hivyo haiwezi kwenda, mara abilia wachache, mara jazeni fomu ili mrudishiwe pesa zenu mwakani, yaani mambo ni mengi hadi namkumbuka Magufuri 😢!.

Nakumbuka sijui waziri gani alisema, hata ije mvua haina gani hakutakuwa na changamoto ila tumbili alipotest kidogo mara wooooz, no safari.

Gafla treni ya kuishia Morogoro inaondoka alafu tunaambiwa pandemi humo mkaunganishe safari mbele huko 😭!.

Daaa, mimi nachoka nageuka kumuangalia mtu wa kumpiga kofi hamna natokwa jasho.

Nimewaambia ongeeni na kampuni yoyote ya mabasi walete hapa buses hapa tuondoke matokeo yake kila mtu anashangaa na wengine wanaanza kubadirika rangi.

Nchi ishakuwa ngumu hii.
Basi sawa, akabiziwe muwekezaji.
Magufuri hamka uone wanachofanya.
Ha ha ha poleni sana. Mimi nilitakiwa kurudi Jumapili. Hio treni ikazingua halafu wanafucha. Kuna mtu akanitonya hapa hamna safari jipange. Nikaondoka kimya kimya na familia yangu tukarudi hotelini. Kesho yake nikapanda bus. Kuna waliokomaa na kuamini maneno ya watu wa trc, walikesha station. Wakaja kuondoka saa tisa mchana kesho yake na wakatumia masaa kama mengi sana hadi kufika Dar.
Sasa sijui kwaninj wanaficha changamoto waliyokuwa nayo? Wanatakiwa waweke wazi ili wananchi waamue mbona mabasi yapo? Lakini yote hio ni kuhalalisha kuwa mradi tumeushindwa na walete wabia ambao ni wao wenyewe kwa mlango wa nyuma. Nchi imepatikana safari hii.
 
Sasa mnapanda treni za nini kama ni mbovu ? Mabasi hamna au hayafiki huko mnakokwenda?
 
😁😁😁😁 sasa nyie mlitaka haya mabasi yetu nani pande "nyani wahed" 😀😀😀 december ni kwaajili ya mabasi tuu treni mtanza kupanda next year tena mkome kabisa 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom