Naendelea kuamini nchi imeharibika.
Tupo hapa SGR Head Office Station. Tukiwa ndani ya lounge ina kiyoyozi lakini tumelowa jasho.
Ilikuwa tuondoke saa 12 jioni kuelekea Dodoma mara bin vuu tunambiwa treni ya Dodoma hamna.
Mara mvua inanyesha Dodoma hivyo haiwezi kwenda, mara abilia wachache...
Mtu wangu kutoka eneo la tukio kapiga simu kunishukuru, anasema muda mchache baada ya mimi kupandisha uzi huu, zoezi lilikokwama kwa siku nzima lilianza kufanyika huku treni inasafiri.
Chanzo cha stori: KERO - TRC rekebisheni behewa namba 14 kwenye treni ya SGR. Hakuna hewa, mtaua watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.