CCM kwa miaka 50 wameshindwa kuanzisha chombo kama National Transportation Safety Board NTSB ya Marekani, ambacho kina jukumu la kuchunguza kila ajali chanzo chake ni nini na kushauri serikali namna ya kuepuka ajali kama hizo in future. Hapa Tanzania ajali ikitokea Traffic wanaenda na vimita vyao na kamba kamba za kupimia kama wanapiga ramli. Baada ya hapo hautawasikia tena na ajali zinaendelea kutokea. Kila ajali lazima Ina lessons learned ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza kusaidia kuepusha ajali na kuokoa maisha.
Hopefully Chadema wakiingia madarakani 2015 wanaweza kuonyesha juhudi ya kupunguza ajali, MaCCM yameshindwa kwa sababu Ni maFreemasonry yanafurahia damu za watanzania kumwagika