Basi la SSB lapata ajali

Basi la SSB lapata ajali

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,670
Reaction score
59,139
Basi hadi trafiki wanaliogopa. Hata taarifa ya Vifo hawatoi. Nimeambulia picha kwa mbali
IMG-20250628-WA0056(2).jpg
IMG-20250628-WA0055(2).jpg
 
Pole kwa majeruhi, kwa tathimini ya haraka inaonesha hakuna vifo...
 
Kuna watu wapumbavu sana humu jf, unadhani hilo basi lilibeba wana CCM?
 
Na huko same pia kuna ajali mbaya sana imetokea, na gari zimewaka moto na vifo vipo, sijui huu mwezi una nini kumekuwa na ajali nyingi sana kwa kweli
 
Gundu imetokana na hayo Maandishi hapo juu.

Mungu hataniwi
 
Back
Top Bottom