Kwanini wasijaribu kuweka traffic police kwnye kila basi linalo safiri kwenda mikoani kwa gharama za hizo company ? au hata kwenye mabasi ya kampuni zinazo pata hajali zaidi ,nadhani hilo litapunguza idadi ya ajali maana kama ndani ya basi kuna traffic police sidhani kama dreva anaweza endesha mwendo kasi au hata hizo overtake zao zisizo na akili haziwezi fanyika na hata itakapo tokea hiyo ajali huyo police ata wajibika kueleza ilitokeaje na yeye alikuaw api kuweza saidi hilo lisitokee, .. sidhani kama kuna njia nyingine ya kupunguz vifo vizivyo na ulazima.
Tunajau suala la rushwa lipo, so ina wezekana huyo police atahongwa na speed ikawa pale pale, nadhani pia wasafiri washirikishwe kwa kutoa taarifa kw anjia ya sms/
Ifanyike kama hivi, KIla ticket iweime andikwa number ambayo abiria anaweza sms kueleza kuhusu uendeshaji wa dreva ukoje na wa hatari kiasi gani .
Police anapo ingia kwenye basi atakiwe atangaze number yake ya utambulisho amabayo anakua amepewa na mamalaka ya usafiri kwa abiria.
Baada ya kutangaza namba anatakiwa kuwaelezea kua yeye yuko pale kuweza ku kudhibiti uendeshaji mbovu wa madereva ,kama aabiria wakiona kua kuna speed na uendeshaji mbaya wan weza ku sms mesege kwenye number fulani, mbayo hizo sms zitatumika kama kielelezo cha jinsi hali ilivyo kuwa kwa uendeshaji wabasi kwa safdari nzima, endapo ajali itatokea huo ujumbe utaweza kua ni moja ya ushahidi wa kutuhumu hyo police hakua ana fanya kazi yake vizuri.
Zoezi zima lina weza kua na gaharama ila gharama zote ziwe kwa wenye makampuni ya mabasi kwa gharama za safari na posho kwa huyo police .Sidhani kama gharama ni tatizo hasaa ukizingatia ajali zinavyo wapa watu garama za maisha na ulemavu , kuepuka yote hayo na dhani ni jamb muhimu kifanyike kuweza kupunguz ahizi ajali zisizo za lazima.