Basi la Mtei lachomwa moto

Basi la Mtei lachomwa moto

Ndachuwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2006
Posts
6,268
Reaction score
4,583
Wananchi wenye hasira wameteketeza kwa kuchoma moto basi la Mtei Express linalosafiri kati ya Singida - Arusha - Singida baada ya kugonga pikipiki na kuua watoto watatu hivi punde

Source: mpiga debe wa Mtei aliyeko stand kuu Arusha

---------------

attachment.php
 

Attachments

  • Mtei.jpg
    Mtei.jpg
    35.5 KB · Views: 605
  • Mtei1.jpg
    Mtei1.jpg
    35.8 KB · Views: 2,867
  • Mtei2.jpg
    Mtei2.jpg
    40.6 KB · Views: 602
Daanh pole wafiwa!!!!!!
Pikipiki na.watoto watatu ulikuwa mshkaki???!!!!
 
na bado ,ndiyo kwanza asubuhi, pole sana wafiwa
 
Kwahiyo, mizigo yote, parcel zilizotumwa kwa ndg, jamaa na rafiki vyote ni majivu sasa! Wananchi wenye hasira bwana?!! balaa, ila unaweza kuta mwenye bodaboda (pikipiki ndiye aliyechemsha", poleni wote
 
Daah hizi ajali hizi,life span yetu inazidi kuwa fupi
 
Wadau nimepita hapa Singida nikitokea Arusha nimekutana na basi la Abiria mali ya kampuni ya Mtei. Chanzo ni kwamba gari hilo limemgonga bodaboda aliyekuwa amebeba watoto wawili waliofikwa na mauti.Hakika inasikitisha sana kwa upande wa wafiwa na kwa kuchomwa basi hili kwani mabegi na mali za abiria zilizokuwamo ndani ya gari vyote vimeteketezwa.
 
mmliki wa mtei express ni mzee mtei wa chadema....?nauliza.
 
Back
Top Bottom