Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,268
- 4,583
Wananchi wenye hasira wameteketeza kwa kuchoma moto basi la Mtei Express linalosafiri kati ya Singida - Arusha - Singida baada ya kugonga pikipiki na kuua watoto watatu hivi punde
Source: mpiga debe wa Mtei aliyeko stand kuu Arusha
---------------
Source: mpiga debe wa Mtei aliyeko stand kuu Arusha
---------------