Basi la Kyela Express lapinduka, wawili wafariki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,651
218,130
FB_IMG_1594970892119.jpg


Kwa mujibu wa ITV basi hilo lililotokea Dar es Salaam kwenda Kyela limepata ajali kwenye njiapanda ya Lutengano maeneo ya Ushirika wilaya ya Rungwe , usiku wa kuamkia leo , ambapo taarifa za awali zinaonyesha kwamba kuna Majeruhi 28 na vifo viwili

Mungu ibariki Kyela
 
Haya yanakimbia sana na balance ya haya madude ni ndogo sana likisumbua ni kama vile dereva yupo kwenye mtumbwi ni vile hawajui tuu kupinduka au kugomea upande mmoja ni sekunde tu. Speed ya kawaida haina madhara makubwa pindi likileta hitilafu likiwa kwenye mwendo...
 
Basi la Kyela Express lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda wilayani Kyela limepata ajali baada ya kupinduka katika njia panda ya Lutengano, Kijiji cha Ushirika wilayani Rungwe mkoani Mbeya usiku wa kuamkia leo.

Bado tunaendelea kufuatilia habari kamili.

1594973740101.png
 
Back
Top Bottom