Basi la kampuni ya Maning Nice lapata ajali Mlima Usambara

wakukurupuka1

JF-Expert Member
Feb 17, 2023
525
1,187
Basi kampuni ya maning nice inayofanya safari zake kati ya Lushoto kwenda dsm imapata ajali kwenye mlima wa usambara

Chanzo cha ajali iyo ni kupata itirafu kwenye mfumo wa brake

Hakuna madhara yoyote kwa abiria

===

#HABARI: Abiria zaidi ya 60, waliokuwa wakisafiri kutoka wilayani Lushoto, kwenda mkoani Dar es Salaam kwa kutumia basi la kampuni ya Maning Nice, lenye namba za usajili T 122 DEA, wamenusurika kifo baada ya breki za basi hilo, kushindwa kufanya kazi kwenye mteremko mkali wa milima ya Usambara, mkoani Tanga.
.
ITV imezungumza na dereva wa basi hilo aliyejulikana kwa jina la Twariki Abdallah, ambaye amesema kuwa gari hilo liliishiwa upepo, hivyo aliamua kuliingiza kwenye gema, ili kuepuka madhara zaidi.

#ITVUpdates
 
Basi kampuni ya maning nice inayofanya safari zake kati ya Lushoto kwenda dsm imapata ajali kwenye mlima wa usambara

Chanzo cha ajali iyo ni kupata itirafu kwenye mfumo wa brake

Hakuna madhara yoyote kwa abiria
Ile ya jana ya New Force Kitonga ilifunikwafunikwa haijaelezwa walikufa wangapi, majeruhi wangapi
 
Basi kampuni ya maning nice inayofanya safari zake kati ya Lushoto kwenda dsm imapata ajali kwenye mlima wa usambara

Chanzo cha ajali iyo ni kupata itirafu kwenye mfumo wa brake

Hakuna madhara yoyote kwa abiria
Waziri mkuu ametangaza mabasi yatembee usiku, ila yeye hapandagi hayo mabasi!!!
 
Ngoma ilikua inapaa hioo

Screenshot_20230703_163554_Lite.jpg
Screenshot_20230703_163340_Lite.jpg
Screenshot_20230703_163451_Lite.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230703_163554_Lite.jpg
    Screenshot_20230703_163554_Lite.jpg
    41 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230703_163340_Lite.jpg
    Screenshot_20230703_163340_Lite.jpg
    32.9 KB · Views: 3

Similar Discussions

Back
Top Bottom