wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Basi kampuni ya maning nice inayofanya safari zake kati ya Lushoto kwenda dsm imapata ajali kwenye mlima wa usambara
Chanzo cha ajali iyo ni kupata itirafu kwenye mfumo wa brake
Hakuna madhara yoyote kwa abiria
===
#HABARI: Abiria zaidi ya 60, waliokuwa wakisafiri kutoka wilayani Lushoto, kwenda mkoani Dar es Salaam kwa kutumia basi la kampuni ya Maning Nice, lenye namba za usajili T 122 DEA, wamenusurika kifo baada ya breki za basi hilo, kushindwa kufanya kazi kwenye mteremko mkali wa milima ya Usambara, mkoani Tanga.
.
ITV imezungumza na dereva wa basi hilo aliyejulikana kwa jina la Twariki Abdallah, ambaye amesema kuwa gari hilo liliishiwa upepo, hivyo aliamua kuliingiza kwenye gema, ili kuepuka madhara zaidi.
#ITVUpdates
Chanzo cha ajali iyo ni kupata itirafu kwenye mfumo wa brake
Hakuna madhara yoyote kwa abiria
===
#HABARI: Abiria zaidi ya 60, waliokuwa wakisafiri kutoka wilayani Lushoto, kwenda mkoani Dar es Salaam kwa kutumia basi la kampuni ya Maning Nice, lenye namba za usajili T 122 DEA, wamenusurika kifo baada ya breki za basi hilo, kushindwa kufanya kazi kwenye mteremko mkali wa milima ya Usambara, mkoani Tanga.
.
ITV imezungumza na dereva wa basi hilo aliyejulikana kwa jina la Twariki Abdallah, ambaye amesema kuwa gari hilo liliishiwa upepo, hivyo aliamua kuliingiza kwenye gema, ili kuepuka madhara zaidi.
#ITVUpdates