wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Basi ilo linalofanya safari zake kutoka Mwanza kuja Dar es Salaam limepata ajali maeneo ya chalinze.
Chanzo cha ajali ni basi ni dereva wa basi hilo kulipita gari jingine bila ya tahadahari.
Hakuna madhara yoyte kwa abiria na zaidi ya basi ilo kuharibika.
Chanzo cha ajali ni basi ni dereva wa basi hilo kulipita gari jingine bila ya tahadahari.
Hakuna madhara yoyte kwa abiria na zaidi ya basi ilo kuharibika.