Basi la Dar Express lapata ajali Wami

Basi la Dar Express lapata ajali Wami

Huu ni wakati wa Serikali kuhakikisha Gari zote za Abiria na Mizigo zinafungwa 'Car Trackers' ili kudhibiti mwendo..
 
Tatizo ni hizi mahakama zetu dereva ameua analipishwa faini tu ingetakiwa kifungo miaka 20 tuone kma wataendesha kizembe

Jamani huu Uzi si wa mwaka jana. Mbona mnatutoa roho kwa habari zilizopita
 
Back
Top Bottom