Basi la Classic kutoka Kampala lililopata ajali Shinyanga lilikuwa limebeba Wazanzibari tu?

Mimi kilichonishangaza ni marehemu kuagwa na makamu wa pili wa rais.

Nikajiuliza mbona znz kuna misiba mingi lakini viongozi hawaendi iweje kwa hawa?

Nahisis watakuwa ni watu muhimu au viongozi waliofariki
 
Mimi kilichonishangaza ni marehemu kuagwa na makamu wa pili wa rais. Nikajiuliza mbona znz kuna misiba mingi lakini viongozi hawaendi iweje kwa hawa? Nahisis watakuwa ni watu muhimu au viongozi waliofariki
Inawezekana, attention imekuwa kubwa mno!
 
Kupitia taarifa ya habari ITV wameonekana abiria waliopata ajali ya basi la Classic kutokea Kampala kuja Dar es Salaam wakielezea namna ajali hiyo ilivyotokea.

Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.

Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ.

Ndio sijaelewa kama ajali hii ilihusisha Waunguja pekee ama?

Mliofuatilia tafadhali!
Hilo basi linaenda mpka south sudan
 
Kupitia taarifa ya habari ITV wameonekana abiria waliopata ajali ya basi la Classic kutokea Kampala kuja Dar es Salaam wakielezea namna ajali hiyo ilivyotokea.

Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.

Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ.

Ndio sijaelewa kama ajali hii ilihusisha Waunguja pekee ama?

Mliofuatilia tafadhali!
Labda ni wanafamilia waliokuwa wanatoka harusini au msibani.
 
Kupitia taarifa ya habari ITV wameonekana abiria waliopata ajali ya basi la Classic kutokea Kampala kuja Dar es Salaam wakielezea namna ajali hiyo ilivyotokea.

Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.

Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ.

Ndio sijaelewa kama ajali hii ilihusisha Waunguja pekee ama?

Mliofuatilia tafadhali!
Mbona wakati wa SHUJAA kila kitu ilikuwa ni nyie?

Tulia dawa iingie, ukijitikisa sindano itakatika..!
 
Sasa kama walikuwa wamelikodi Kuna tatizo gani? Juzi tumepokea Wanyakyusa basi zima toka Kyela kwenye harusi, na hapo utasemaje?
 
Ana hoja kuuliza hivyo, yani hoja yenyewe ya msingi ni je ni coincidence kuwa watu kutoka kanda moja ndio waliokuwa kwenye hilo basi au labda ilikuwa basi limekodishwa au kuna kitu gani.

Tatizo mnashindwa kung'amua vitu vyepesi kabisa.
"Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ."
 
Back
Top Bottom