Kwenye misiba Zanzibar hatubagui kiongozi au mwananchi, wote sawa.Mimi kilichonishangaza ni marehemu kuagwa na makamu wa pili wa rais..
Umeshawahi kumuona makamu wa rais kwenye misiba ya watu wa kawaida ambao sio ndugu zake?Kwenye misiba Zanzibar hatubagui kiongozi au mwananchi, wote sawa.
Bwashee mimi nilikuwa ninajua wewe ni wa pale Makoa..njia panda ya kuelekea kwa Mengi na ya Nkwarungo.😅Hahahaaaa, mimi ni mrombo bwashee!
Manka niwekee lita 5!Wazanzibar wamekamata kila kona ya nchi wewe tulia huko Katoro
Bwashee mimi bili ya maji nalipia Kenya, hahahaaaa!Bwashee mimi nilikuwa ninajua wewe ni wa pale Makoa..njia panda ya kuelekea kwa Mengi na ya Nkwarungo.😅
Inawezekana, attention imekuwa kubwa mno!Mimi kilichonishangaza ni marehemu kuagwa na makamu wa pili wa rais. Nikajiuliza mbona znz kuna misiba mingi lakini viongozi hawaendi iweje kwa hawa? Nahisis watakuwa ni watu muhimu au viongozi waliofariki
Mlevi wewe jana umepewa elfu 5 ya kupanga mabox store leo utasumbua snManka niwekee lita 5!
Ndio wenye nchi kwa sasa .
Hahahaaaa....... Uniwekee ya leo leo sio mbege mkangafu!Mlevi wewe jana umepewa elfu 5 ya kupanga mabox store leo utasumbua sn
Ndiyo maana ulifukuzwa shauri ya ulevi wewe mzeeHahahaaaa....... Uniwekee ya leo leo sio mbege mkangafu!
Hilo basi linaenda mpka south sudanKupitia taarifa ya habari ITV wameonekana abiria waliopata ajali ya basi la Classic kutokea Kampala kuja Dar es Salaam wakielezea namna ajali hiyo ilivyotokea.
Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.
Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ.
Ndio sijaelewa kama ajali hii ilihusisha Waunguja pekee ama?
Mliofuatilia tafadhali!
Labda ni wanafamilia waliokuwa wanatoka harusini au msibani.Kupitia taarifa ya habari ITV wameonekana abiria waliopata ajali ya basi la Classic kutokea Kampala kuja Dar es Salaam wakielezea namna ajali hiyo ilivyotokea.
Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.
Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ.
Ndio sijaelewa kama ajali hii ilihusisha Waunguja pekee ama?
Mliofuatilia tafadhali!
Mbona wakati wa SHUJAA kila kitu ilikuwa ni nyie?Kupitia taarifa ya habari ITV wameonekana abiria waliopata ajali ya basi la Classic kutokea Kampala kuja Dar es Salaam wakielezea namna ajali hiyo ilivyotokea.
Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.
Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ.
Ndio sijaelewa kama ajali hii ilihusisha Waunguja pekee ama?
Mliofuatilia tafadhali!
"Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ."Ana hoja kuuliza hivyo, yani hoja yenyewe ya msingi ni je ni coincidence kuwa watu kutoka kanda moja ndio waliokuwa kwenye hilo basi au labda ilikuwa basi limekodishwa au kuna kitu gani.
Tatizo mnashindwa kung'amua vitu vyepesi kabisa.