Bashiru Ally: Vyama vya siasa Vya Maslahi

Bashiru Ally: Vyama vya siasa Vya Maslahi

Karikari

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
250
Reaction score
41
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?
 
Yaani badala ya wananchi kukata tamaa kwa CCM inayoongoza serikali wakate tamaa kwa vyama visivyo na serikali kana kwamba ndivyo vinavyoleta ukali wa maisha!

Msomi MAJALALA!
 
Unapoleta maada unapaswa kuwa neutral ili upate wachangiaji wengi yaan ulivyo onyesha tu kwamba uko upande wa mbowe na babu nilisikia harufu mbaya kama umefunja yai viza.


sio makosa yako ila ni upofu wako wa kujiunga kwenye kundi la MM mkuu wa wachawi.
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?

Hekima kipaji, hekima haitafutwi kwenye vitabu, unaweza ukawa Profesa, kumbe ni Profesa Maji Marefu
 
Yaani badala ya wananchi kukata tamaa kwa CCM inayoongoza serikali wakate tamaa kwa vyama visivyo na serikali kana kwamba ndivyo vinavyoleta ukali wa maisha!

Msomi MAJALALA!

He used to work for the system when at High School in 1990s.......with the same system in power I dont see him as a credible critic of the same!!
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?
Hivi hapo udini upo wapi kwani kilichotokea Chadema ni uongo mtu hakiwa Muislam akiwakosoa Chadema anaitwa mdini.

Akuu.
 
Nilikua namadmire huyu jamaa na nilidhani atafill the gape lililoachwa na Harub Othman but amegeuka kua rubish kujaji mambo kisiasa, kidini na kikabila Usomi wake upo wapi watu Unadharauliwa mitaani Bashiru unadhalilisha elimu yaku jadili fact na sio kila kukikuchwa ulalaie upande wako... Shame on you guy
 
Baadhi ya watu kama huyu ndio wanaofanya kauli za udini zitoke, hapo anamaanisha tamaa imekatwa kwa ajili ya zzk kuondolewa? Hivi mbona kafulila hakushabikiwa kiasi hiki! Tena basi yeye hatukuona taarifa zake zozote za kupewa mapesa na kuhongwa ili asaliti chama chake au akae kimya kwenye maswala ya madini kama huyu aliyezoa mapesa kwenye machimbo na serikalini? naanza kufikiri kuwa wengi wanaomshabikia zzt au ni udini ama wale washabiki wa chama tawala, kama zuberi angekuwa na dini ya kafulila usingeona wengi wakifoka na kutoa conculusion kama za huyu anayejiita mhadhiri wa chuo, nawasifu na kuwaheshimu waislam wanaosimamia kweli na haki daima. Haya ni mawazo yangu mimi
 
Hivi ni kwa nini wafuasi wa Mbowe wanauchukia ukweli?
 
Baadhi ya watu kama huyu ndio wanaofanya kauli za udini zitoke, hapo anamaanisha tamaa imekatwa kwa ajili ya zzk? Hivi mbona kafulila hakushabikiwa kiasi hiki! Tena basi yeye hatukuona taarifa zake zozote za kupewa mapesa na kuhongwa ili asaliti au akae kimya kama huyu aliyezoa mapesa kwenye machimbo na serikalini? naanza kufikiri kuwa wengi wanaomshabikia zzt au ni udini ama wale washabiki wa chama tawala, kama zuberi angekuwa na dini ya kafulila usingeona wengi wakifoka na kutoa conculision kama za huyu anayejiita mhadhiri wa chuo. Haya ni mawazo yangu mimi
Mkuu, kwanza utambue kuwa suala la udini halojaelezwa na Bashiru Ali bali limewekwa kama swali na mleta uzi. Tatizo la wafuasi wengi wa bavicha wanakimbilia kuchangia badala ya kusoma na kuelewa kwanza.
 
Nilikua namadmire huyu jamaa na nilidhani atafill the gape lililoachwa na Harub Othman but amegeuka kua rubish kujaji mambo kisiasa, kidini na kikabila Usomi wake upo wapi watu Unadharauliwa mitaani Bashiru unadhalilisha elimu yaku jadili fact na sio kila kukikuchwa ulalaie upande wako... Shame on you guy
Mkuu, unaweza kunieleza japo suala moja tu ambalo unadhani kuwa Bashiru amesema uongo? Au kwa vile mmesemangwa
 
Huyu prof kila siku yeye ni kukosoa tu wala hatoi solution. Juzi nmeona channel ten akikosoa serikali tatu.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Mapenzi yenu kwa chadema yamevuka mipaka hamuoni hata udhaifu uliopo kila anaeuona nakuusema ni adui kwenu.Huwezi kumvua usomi wake kwa kutoa kwake maoni,afadhali yeye anasaidia taifa wewe unatumika kama ngazi bila ujira.Nimegundua ni kwa nini nyinyi mnatetea uozo kwa sababu chama chenu kina viongozi wa dini ambao hata waboroge vipi hamuwezi kuwapinga,ole wao wanaoabudu siasa za vyama vibovu maana hawatauona ufalme wa kisiasa,duh poleni misukule.
 
Back
Top Bottom