Tanganyika jeki
JF-Expert Member
- Jun 12, 2011
- 243
- 87
Ngoja tumpe muda. Akiwaweza kina Bhana na Mkandara kwa hoja na misimamo ya mahali ulipo ukweli, atastahili kufikiriwa kuvikwa taji hilo
ni kweli watafanya mapinduzi na kua wakulima maskini zaidi duniani *huyu msomi yuko sahihi kabisa
Huyu msomi toka chuo kikuu cha dsm yupo channel ten. Anasema wakulima si muda mrefu watafanya mapinduzi kwa sababu ya wakulima kusahauliwa na mpango dhaifu wa kilimo kwanza. Msomi huyu ananikumbusha chachage. Amefanana kwa mengi na marehemu chachage sethy chachage.
Acha Chachage pembeni, Mnajua kwamba hakuna Mwanasiasa hata mmoja Tanzania mwenye ilani inayotetea maslahi ya WAKULIMA ingawa ndilo kundi kubwa la wananchi na Kilimo ni uti wa mgongo wa Uchumi wetu?
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.
Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.
Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.
Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.
Nilitegemea tu ungesema hayo..tunajua ni kwanini??
Never appreciate akishakuwa na majina kama yaleeee..
Bashir kuwa sawa na Chachage ni utani usofaa.
Anaficha misimamo yake. Pale Ihungo H/school akiwa HP hakupata kutetea maslahi ya wanafunzi. Iliaminika kuwa alikuwa TISS coz it was known to be married lakini uongozi wa shule hawakumgusa
Si kweli, HAKUSHINDWA VIBAYA SANA. Alishindwa lakini si kihivyo.