Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Wakongwe wa jamvi hili mtakumbuka.
JK akiwa Mwenyekiti wa CCM alisumbuliwa sana na mitandao iliyoongozwa na JF. CCM ikakosa ushawishi na kuelekea kumfia mikononi. Akaunda tume ndogo iliyoongozwa na Wilson Mukama. Tume hiyo ikajifungia na kuja document kubwa. JK akaipitia juu juu na kuja na mapendekezo yaliyozaa kujivua gamba.
Kama shukrani au ule usemi wa "Mchawi mpe mtoto akulelee", JK akamteua Wilson Mukama kuwa Katibu Mkuu wa CCM akimwacha nje mzee Makamba.
"Nimesikia" kuwa Mwenyekiti wa sasa yuko njiani kupeleka jina la Bashiru Ali kuwa Katibu Mkuu mpya wa chama na kazi yake kubwa itakuwa kusimamia urejeshwaji wa mali za chama zilizoibwa au kuuzwa kimizengwe. Je Bashiru atafanikiwa? CCM siku hizi limekuwa darasa la kutolea lecture kama lile la Mlimani alilozoea Bashiru?
Stay tuned
JK akiwa Mwenyekiti wa CCM alisumbuliwa sana na mitandao iliyoongozwa na JF. CCM ikakosa ushawishi na kuelekea kumfia mikononi. Akaunda tume ndogo iliyoongozwa na Wilson Mukama. Tume hiyo ikajifungia na kuja document kubwa. JK akaipitia juu juu na kuja na mapendekezo yaliyozaa kujivua gamba.
Kama shukrani au ule usemi wa "Mchawi mpe mtoto akulelee", JK akamteua Wilson Mukama kuwa Katibu Mkuu wa CCM akimwacha nje mzee Makamba.
"Nimesikia" kuwa Mwenyekiti wa sasa yuko njiani kupeleka jina la Bashiru Ali kuwa Katibu Mkuu mpya wa chama na kazi yake kubwa itakuwa kusimamia urejeshwaji wa mali za chama zilizoibwa au kuuzwa kimizengwe. Je Bashiru atafanikiwa? CCM siku hizi limekuwa darasa la kutolea lecture kama lile la Mlimani alilozoea Bashiru?
Stay tuned