SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,074
Kwani Prof Rwekaza bado yupo UDSM?What I know amshastaafu.Au labda anakusimamia kwakua alishapangiwa akusimamie.Kwa hiyo mkuu unanishauri nikae mbali na huyo Prof. vinginevyo nitasota sana. Kwani huyu amesotea hiyo PhD (Permanent Head Damage) kwa miaka mingapi?
Huyu bwana sidhani kama alisimamiwa na Prof Rwekaza.