Bashe: Ubunge nipeni mimi, urais baba yetu Lowassa

Bashe: Ubunge nipeni mimi, urais baba yetu Lowassa

Bashe kama unamuunga mkono MH.rais mtalajiwa lowassa. basi hongera
 
Wewe hujuwi hakuna atakae thubutu kukafukuza .halo nikadume kahapa nzega muulizeni kigwa
 
Bashe bado yuko dodoma,sisi tulishaondoka huko,tuko huku sasa....

unnamed%2B%25281%2529.png
 
Bora tarehe 01/09/2015 ifike tu ili habari zinazo-hang kama hizi ziishe maanake hakuna chanzo wala mahali hasa ulipofanyikia huo mkutano.

Japokuwa anafahamika ni kijana wa Lowassa lakini hawezi kuropoka hivyo hadharani.

Wengi mtakuwa wadau wa MMU kuanzia kesho kutwa.
 
mgombea wa ubunge nzega mjini amesema jana katika uzinduzi wa ubunge katika jimbo lake kuwa yeye ndiye anafaa kuwa mbunge lakini urais anamuunga Lowassa.

Bashe aliyasema hayo jana majira ya saa kumi na moja jion na kushangiliwa na umati wa watu.

Sina tatizo na magufuli ila kwa nafasi ya urais haimtoshi na itakuwa dhambi kubwa kumlinganisha magufuli na lowassa. Wote mimi nawajua na kiukweli sijaona atakaye ongoza nchi hii kama si Lowassa.

Tulipo kosea sisi ni kwenye uteuzi wa rais, na hapa tutajilaumu sana, ila bado mimi ninaimani na lowassa, aliongeza bashe.

Acha UNAFIKI.
 
Bashe ametumia haki yake ya kujieleza,Nakupongeza Kwa kuwa jasiri!
 
Wasije wakasema tena sio raia, maana maccm hayakawii kutunga sheria zao ovu
 
mgombea wa ubunge nzega mjini amesema jana katika uzinduzi wa ubunge katika jimbo lake kuwa yeye ndiye anafaa kuwa mbunge lakini urais anamuunga Lowassa.

Bashe aliyasema hayo jana majira ya saa kumi na moja jion na kushangiliwa na umati wa watu.

Sina tatizo na magufuli ila kwa nafasi ya urais haimtoshi na itakuwa dhambi kubwa kumlinganisha magufuli na lowassa. Wote mimi nawajua na kiukweli sijaona atakaye ongoza nchi hii kama si Lowassa.

Tulipo kosea sisi ni kwenye uteuzi wa rais, na hapa tutajilaumu sana, ila bado mimi ninaimani na lowassa, aliongeza bashe.
Source? Basi kwa maneno haya farijianeni
 
Back
Top Bottom