Bashe: Serikali iangalie namna ya kupunguza Mfumuko wa Bei ya Vyakula lakini siyo kwa kumbana mkulima, kamwe sitafunga mipaka!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,959
141,954
Waziri wa Kilimo mh Bashe amewahakikishia Wakulima mjini Singida kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu ya Mfumuko wa Bei inayolalamikiwa hivyo wasiwe na wasiwasi

Bashe amesema Wachumi Wana njia nyingi za kukabiliana na Mfumuko wa Bei serikali izitumie hizo

Kadhalika Bashe ameagiza Mbolea ya ruzuku ipatikane kwenye maduka husika ya pembejeo nchini Kuanzia Leo

Chanzo: ITV habari
 
Waziri wa Kilimo mh Bashe amewahakikishia Wakulima mjini Singida kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu ya Mfumuko wa Bei inayolalamikiwa hivyo wasiwe na wasiwasi

Bashe amesema Wachumi Wana njia nyingi za kukabiliana na Mfumuko wa Bei serikali izitumie hizo

Kadhalika Bashe ameagiza Mbolea ya ruzuku ipatikane kwenye maduka husika ya pembejeo nchini Kuanzia Leo

Source ITV habari
Safi Sana Bashe kwa msimamo huo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mjinga unafikiri apo kuna mkulima?

Hao wanaosafirisha mazao nje ya nchi ni wafanyabiashara mabilionea na wanasiasa

Mkulima yeye anauza shamban wakati bei ni sawa na bure

Wajinga km nyie ndio mnasababisha wanasiasa watudharau
Magu kanyanyasa sana wakulima....
Kulima nilime Mimi kwa nguvu zangu...kuuza niacheni niuze napotaka

Ukiona wivu au nafaidi njoo ulime
 
Waziri wa Kilimo mh Bashe amewahakikishia Wakulima mjini Singida kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu ya Mfumuko wa Bei inayolalamikiwa hivyo wasiwe na wasiwasi

Bashe amesema Wachumi Wana njia nyingi za kukabiliana na Mfumuko wa Bei serikali izitumie hizo

Kadhalika Bashe ameagiza Mbolea ya ruzuku ipatikane kwenye maduka husika ya pembejeo nchini Kuanzia Leo

Source ITV habari
Huyu dogo asitake sifa zisizokuwepo! Aseme TU kuwa kule Kwa babu zake Kuna njaa hivyo hawezi kuwaacha wakafa Kwa njaa ilihali mjukuu yupo!

Nimuulize, magodauni yake Yana tani ngapi za vyakula na vitatosha kuwalisha watanzania Kwa muda Gani endapo baa la njaa litasambaa nchini?
 
Waziri wa Kilimo mh Bashe amewahakikishia Wakulima mjini Singida kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu ya Mfumuko wa Bei inayolalamikiwa hivyo wasiwe na wasiwasi

Bashe amesema Wachumi Wana njia nyingi za kukabiliana na Mfumuko wa Bei serikali izitumie hizo

Kadhalika Bashe ameagiza Mbolea ya ruzuku ipatikane kwenye maduka husika ya pembejeo nchini Kuanzia Leo

Source ITV habari
Anaongea kama siyo sehemu ya serikali vile! Hii nchi bhana. Wananchi wanataka kuona serikali inachukua hatua ya kupunguza mfumuko wa bei za vyakula, yeye analeta story za kufurahisha genge!

Hovyo kabisa.
 
Waziri wa Kilimo mh Bashe amewahakikishia Wakulima mjini Singida kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu ya Mfumuko wa Bei inayolalamikiwa hivyo wasiwe na wasiwasi

Bashe amesema Wachumi Wana njia nyingi za kukabiliana na Mfumuko wa Bei serikali izitumie hizo

Kadhalika Bashe ameagiza Mbolea ya ruzuku ipatikane kwenye maduka husika ya pembejeo nchini Kuanzia Leo

Source ITV habari
Anatoa taarifa nusunusu; taarifa anayotaka asifiwe juu yake!

Kwa mantiki hiyo hiyo ya kufungua mipaka ili chakula kiuzwe nje ili wakulima wanufaike, ambalo ni jambo jema, hapo hapo anasahau kuhimiza wafanya biashara wenye uwezo wa kuagiza bidhaa hiyo hiyo toka nje ya nchi kwa bei nafuu, na wao wapewe fursa ya kuingiza bidhaa ili mwananchi wa kawaida asibebe mzigo mkubwa wa gharama.

Hebu mwelezeni/mkumbusheni waziri juu ya hili.
 
Wewe ni mjinga unafikiri apo kuna mkulima?

Hao wanaosafirisha mazao nje ya nchi ni wafanyabiashara mabilionea na wanasiasa

Mkulima yeye anauza shamban wakati bei ni sawa na bure

Wajinga km nyie ndio mnasababisha wanasiasa watudharau
Magufuli kwa ujinga wake kaua kilimo
Fikiri gunia la mahindi 22,000 mim mkulima lini ntapata laki ya laki ya sare za watoto? Yaan niuze gunia tano kununua sare?
Sisi wakulima hii serikali imwtufaa Sana...Michele uuzwe hata 10,000 kwa kilo, ungaa uuzwe 9,000 kabisa ili mwakani uje shamba kulima.

Kwan bidhaa za viwandan zinapangwa Bei? Kwa nin mahindi nipangiwe? Unajua Bei ya mbolea kwa sasa???
Komaeni na misheni town mim nakomaa na jembe...naenda kuuza Kisumu Kenya
 
Ukiwa mkulima unachukiaje mahindi kupanda Bei? Mkulima lazma ufurahie Michele, maharage, unga kupanda bei.
Tulitunza mahindi stop mpaka yakaozeana, hakukuwa na mnunuzi....Asante MUNGU, Asante BASHE akili kubwa
Mkuu, tuelewane vizuri. Hakuna sehemu yoyote ninayotetea mkulima asipate bei nzuri kwa juhudi zake. Hili naomba sana tulitoe njiani katika mjadala huu.

Nilichokujibu hapo mwanzo kuhusu nhi yoyote kuruhusu biashara ya chakula ifanyike kiholela,nchini, na hasa wakati wa dalili za kuwepo janga la upungufu wa chakula ndani ya nchi hiyo.

Hakuna serikali yoyote duniani itakayoacha tu chakula kiuzwe nje ya nchi huku nchi yenyewe ikipata janga la njaa. Serikali ya namna hiyo haipo.
 
Bashe hoyeee! ....
Mi-kumi au mi-mia tena kwa rais Samia na mhe Bashe.....

kiukweli mmejua kunifaurahisha. Haiwezekani wadangaji, wapigadebe, wavuta bangi, panyaroad, madalali, machinga, mama ntilie wamekaa tu mjini halafu wakulima tunalima kwa shida wao wanunue kwa bei mchekea.

wakulima tisipangiwe wapi pa kuuza mazao yetu.
 
Kutokana na comment yako hii sikujua km nafanya mjadala na mtu mjinga kiasi hiki

Magufuli kwa ujinga wake kaua kilimo
Fikiri gunia la mahindi 22,000 mim mkulima lini ntapata laki ya lunch nua date za watoto? Yaan niuze gunia tano kununua sare?
Sisi wakulima hii serikali imwtufaa Sana...Michele uuzwe hata 10,000 kwa kilo, ungaa uuzwe 9,000 kabisa ili mwakani uje shamba kulima.

Kwan bidhaa za viwandan zinapangwa Bei? Kwa nin mahindi nipangiwe? Unajua Bei ya mbolea kwa sasa???
Komaeni na misheni town mim nakomaa na jembe...naenda kuuza Kisumu Kenya
 
Mkuu, tuelewane vizuri. Hakuna sehemu yoyote ninayotetea mkulima asipate bei nzuri kwa juhudi zake. Hili naomba sana tulitoe njiani katika mjadala huu.

Nilichokujibu hapo mwanzo kuhusu nhi yoyote kuruhusu biashara ya chakula ifanyike kiholela,nchini, na hasa wakati wa dalili za kuwepo janga la upungufu wa chakula ndani ya nchi hiyo.

Hakuna serikali yoyote duniani itakayoacha tu chakula kiuzwe nje ya nchi huku nchi yenyewe ikipata janga la njaa. Serikali ya namna hiyo haipo.
Wewe unawazaje ndugu?
Hivi mafuta ya kula Bei haijapanda? Rim paper? Photocopy Bei ya chini ilikuwa 40 kwa sasa Bei ya chini 60?
Nauli za daladala? Na mabasi ya mikoani?

SASA MIMI MKULIMA MAZAO YANGU YASIPANDE? ni ubinafsi wa Hali ya juu ujinga aliouanzisha magufuli.

Nipe jibu huyo mkulima na watoto wake how will they cover up the increased price of madude mengine mengine?

Waziri BASHE ndiye mtetezi halisi wa wakulima
 
Back
Top Bottom