The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Habari wadau wa Jukwaa.
Kutoka Mbeya, Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema Serikali itaendelea na juhudi za kuwaunga mkono Wakulima ili wajikwamue kwa kuwapa Mbolea ya ruzuku na kuwaruhusu kuuza Mazao Yao popote kwenye soko..
Bashe amesisitiza msimamo wa Serikali kwamba Haina mpango wa Kufunga Mipaka kwa sababu Kilimo Ni Biashara Kama zilivyo biashara zingine hivyo wakulima waondoe Shaka na wachape kazi..
My Take.
Hongera Sana Waziri Bashe na Serikali kwa Ujumla kwa kuchukua msimamo ambao utainua kilimo chetu.
Anaeona bidhaa za vyakula zimepanda Bei achukue jembe akalime.👇
Kutoka Mbeya, Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema Serikali itaendelea na juhudi za kuwaunga mkono Wakulima ili wajikwamue kwa kuwapa Mbolea ya ruzuku na kuwaruhusu kuuza Mazao Yao popote kwenye soko..
Bashe amesisitiza msimamo wa Serikali kwamba Haina mpango wa Kufunga Mipaka kwa sababu Kilimo Ni Biashara Kama zilivyo biashara zingine hivyo wakulima waondoe Shaka na wachape kazi..
My Take.
Hongera Sana Waziri Bashe na Serikali kwa Ujumla kwa kuchukua msimamo ambao utainua kilimo chetu.
Anaeona bidhaa za vyakula zimepanda Bei achukue jembe akalime.👇