zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 24,242
- 39,819
Eti eeeh ssa mnazuia mikutano ya nni?? unafkiri ile mikutano ilikuwa kwa ajili gani?? hta kule mavyuoni tulifanya sana ili tupate manpower ya products kma kina silinde na mnyika ila nyie mmeuzia so sad...... afu leo hii ndo mnataka ionekane hatuna uwezo wa kuzalisha products zetu wenyewe??? kaz kweli kwleiTengenezeni wa kwenu kuanzia chipukizi...na kuwashawishi wasio na vyama kama mimi niwaunge mkomo...