Wewe hujapenda aliyoongea?Leo Bashe atasifiwa sana maana ameongea yanayo pendwa na Bawacha lakini kesho akiongea wasiyo yapenda kuyasikia watamtukana sana!
Ameongea mambo yenye tija kwa nchi. Mambo ya kusema cjui bawacha hayahusiani.ameamua kuachana na unafki wenu.haya tumpongeze,,, mkuu Ruta...,Nawe ukisema yenye tija tutakupongezaLeo Bashe atasifiwa sana maana ameongea yanayo pendwa na Bawacha lakini kesho akiongea wasiyo yapenda kuyasikia watamtukana sana!
mbona hata rafudhi inamtambulisha.Ccm bana, walimzushia eti ni msomali kisa anasema ukweli, sasa watazusha kuwa ni mkenya
Kwamba ni mnyamwezi originalmbona hata rafudhi inamtambulisha.
Kwenye ukweli wanasifiwa japo inawaumiza sana CCMLeo Bashe atasifiwa sana maana ameongea yanayo pendwa na Bawacha lakini kesho akiongea wasiyo yapenda kuyasikia watamtukana sana!
umeongea pointi mkuuAmeongea ukweli lakini tatizo la haya mabunge ya commonwealth countries, party caucus zinawafanya wabunge kuwa wanafiki.
Mbaya zaidi inakuja pale serikali haitimizi wajibu wake au viongozi wake ni mzigo. Wabunge itabidi tu waitetee serikali kutokana na party caucus zao. Vivyo hivyo hata kwenye upinzani.
Unakuta wabunge wote wanakubaliana kwenye masuala yanayowagusa wao lakini hawakubaliani kwenye masuala yanayovigusa vyama vyao. Hakuna hata general consensus kwenye masuala ya kitaifa.
Bashe anaweza kuongea hivi lakini inapofika wakati wa kupitisha bajeti ya serikali inabidi tu apitishe kwa sababu ya maelekezo kutoka kwa mkuu wa party caucus yake.
Namkumbuka FilikunjombeTukipata wabunge wengi wenye muelekeo kama huo tutafika maana watatimiza wajibu wao wa kuwajibisha serikali.
Kama ataongea mambo ambayo hayana afya kwa taifa na tukamsifia huo ndo unafki wenyewe sasa,kaongea point ambayo inaukweli mkubwa sana ndani yake ndo maana atasifiwa lakini akiongea mashudu lazma tumkosoe na huo utakua sio unafkiLeo Bashe atasifiwa sana maana ameongea yanayo pendwa na Bawacha lakini kesho akiongea wasiyo yapenda kuyasikia watamtukana sana!
Mbona hamkuwafikia hata nusu kwenye viti vya ubunge? Au udiwani?
Teh Teh....Ukweli umeingia na umepokelewa, Bashe wakikuzonga hao ccm hamia ukawa.
kwani rafudhi ya kinyamwezi hiyo?Kwamba ni mnyamwezi original
Kumbe naongea na UVCCM, sawa mkuu nimekuelewakwani rafudhi ya kinyamwezi hiyo?
msikilize lipumba akiongea harafu ufananishe kama zinafanana na hii ya huyo unayemwita mnyamwezi.
kwa kutazama tu bila akili ya kushikiwa, cdm na ukawa ndo wanafiki no 1, waliosema edo fisadi baada ya kuja kwao wakabadili gia angani, ila watu 2, dr slaa, na prof. lipumba, walibaki kwenye ukweli,
ujumbe umefika, usifikiri bashe alikuwa anawaambia ccm ila cdm, ila kwa kuwa hawakusoma fasihi, wao kwa akili wakajua ni ccm, hebu pimeni maneno yake, pitien uswahiba wake na yuleeeee, halafu nenda nae mstali kwa mstali utajua amewaambia ukawa a.k.a cdm kuwa ni Wanafiki... ila kwa kuwa ni nyumbuu hawajajua hyo fasihi...
mboan rahisi tu mtanzania mwenye asili ya kuleeeeeee.Kumbe naongea na uvccm, sawa mkuu nimekuelewa
umesoma vzr mkuu nilichokiandika?We ulisoma fasihi kinyume. Tz kuwa na vijana kama WeWe ni kurudi nyuma sana kabla ya uhuru ,
Nchi hii inahitaji vijana wasio wanafki kama bashe