Bashe anusurika kutekwa

Bashe kapika SINEMA hii ili ku-draw attention ya watu.Kwanza amejuaje kama wanakuja kumteka?Je kama lengo ni kumpiga risasi na kuishia, wangempata vizuri aliposhuka hapo glossary.Ni ishara gani zilizoonyesha kwamba wanamfuata ili wamteke?
Itakuwa walikuwa wanatumia kipaza sauti
 
Matunda ya Rwakatare.
Uzuri kwa Mungu utasema kweli tu.leo utamsingizia yeyote yule.ila kwa Mungu hata kama muhusika baba yako utatuambia kweupe kuwa ni baba yangu.HAKUNA JINSI YA KUMKWEPA MUNGU.
 

mmmh,jamani kwa kweli SI HUKUMU LAKINI TUWE MAKINI SANA,MAANA KUNA WATU WANAWEZA WAKAANZA KUZUSHA MAMBO KWA KUTUMIA SITOFAHAMU ILIYOPO TANZANIA SASA,napata shida sana kama muda wote huo aliozunguka na hawa jama kweli alishindwa fanya jitihada za kusoma number za magari hayo? pia mbona hajaweka wazi muda aliotoka kazini ili tuwe in a fairy position to judge,pia Bashe anajua anafuatiliwa toka Sinza mpaka mwenge,anapita tangibovu,..kweli alishindwa kupiga simu kwa jamaa zake kuwataarifu au wamfuatilie?
 

akishawaza ivo ndo iwe je sasa? Na kama duniani kote ndo kupo ivyo ndo waTz tukubaliane nalo na kulipokea na kuwa sehemu ya maisa yetu?
 
Kufuatiliwa kwa zaidi ya saa nzima kwa vyovyote alikuwa na muda wa kutosha kutoa taarifa polisi au kuomba ushauri kwa ndugu na marafiki wamwambie afanye nini, Au hata angeweza kuingia kwenye Hoteli yoyote kubwa "ya kitalii" ambazo naamini zina ulinzi wa silaha na angekaa hapo na kuomba msaada zaidi....sidhani kama haya yanahitaji elimu ya chuo kikuu kwa mtu kuchukua tahadhari ya hali unayoifahamu tayari...
 
Faida ya nchi corrapted ndo hii inakuwa shamba la walanguzi na genge la wahuni inaelekea kila sekta ya ungozi nchi hii kuanzia chini hadi juu imekaliwa na wala rushwa, wahuni, walanguzi ambao wanayafikiria matumbo yao na siyo maslahi ya Taifa
 
Hili nami nililifikiri kwamba angewapigia watu wa karibu hata polisi waende pale kwake waweke mtego kuona ambacho kingefuata. pengine wangemfata njiani na kutress hayo magari wakati akiendesha taratibu.
 
Bashe wewe na Boss wako Rostam si ndio mnawapangia waandishi au wahariri waandike nini!!Kama juzi badala ya kudeal na issue ambayo iko bado mbichi mnabadilisha na kuleta vitu vya kupikwa ati Zitto Zuberi Kabwe alitakiwa afe sasa naona inakula kwako kaka sasa unalo basi nakuomba sana kwa kuwa hii ndio iko new issue basi usiandike leta zile za zamani hii yako ipotezee.Acheni unafiki jamani andikeni isue ambazo ziko openly na sio kama ile ati Zito alitaka kupewa sumu hii ni kuwapoteza wananchi andikeni issue kama za kutekwa kwa DR Ulimboko,Kibanda,Kuuwawa kwa Viongozi wa kidini,matokeo mabaya ya kidato cha nne,kuchomwa kwa makanisa yaani andikeni kila siku tena kwa ukurasa wa kwanza then wale wote wenye nia mbaya nafsi itawasuta na kumrudia Mungu na kuacha kuwawinda.
 

Worst scripted comedy ever
 
Huyu Bashe ni mzushi wa daraja la kwanza. Ukiangalia mwenendo wa gazeti la Mtanzania ni kama wanajaribu ku-divert attention yetu kwenye matishio ya kweli yanayowakabili WATANZANIA (na sio watu wenye uraia wenye utata, anyway). Mara ya kwanza, Bashe alidai kuna siku yeye na Kibanda walifuatiliwa na polisi, lakini habari hiyo haikuchapishwa hadi Kibanda alipotekwa na kuteswa. Why? Kisha akadai eti amara kadhaa amekuwa akiona magari ya polisi yakiwa katika mkao wa kumfuatilia. Hayo yote hayajawahi kuandikwa katika gazeti analoongoza. Sasa amekuja na episode nyingine ya kunusurika kutekwa!

Huyu mhuni wa kisiasa (political thug) anastahili kupuuzwa tu. Yeye ni mouthpiece ya Rostam, fisadi mkubwa katika historia ya nchi yetu. Na naomba nisimung'unye maneno: I will go to a pub nikisikia mmoja wa majambazi wanaoibaka nchi yetu kila kukicha (au wapambe wao) aking'olewa kucha, jicho au meno. Wakati mwingine haki inapatikana hapahapa duniani, hata kama si kwa njia za kistaarabu.

Let's just ignore this political conman
 
Kwa foleni za dar ,kutoka mwenge mpaka njia panda ya kawe hivi alishindwa hata kuomba msaada hapo lugalo jeshini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…